MO anawapa watu njia za mafanikio

stakehinh ni motuvation guru mi naona ngoja nikuache kwanza

alafu kingine, huezi pewa motivation na mtu ambae hata biashara hajui: lazima uwe kwenye biashara kabla hujatoa maneno yako kwa watu wengine: mm nafanya biashara maisha yangu yote ndan na nje ya nchi: so nachokwambia ni very legit,
 
Simon Adebisi,

hii ndo nini umeandika: one secret: utaenda kote ila mwishowe lazma unique idea yako ndo itakutoa: mfano google walivoanza yahoo ndo walidominate market ya search, tatizo la yahoo search yao haikua relevant, mfano nikisearch neno Simon Adebisi inatakiwa zianze zile trending zote znahusiana na Simon Adebisi then ndo zingine zifuatie,

so Larry page na sergey Brin waliona hilo tatizo: wakawapa hio idea yahoo wakakataa kwamba watapoteza mapato yao kisa mtu ataspenda mda mchache kwenye yahoo


basi google wakaimplement, wakawapiga bao, hio ni idea its worth $800B right now: how many search engines are there on this world? are they worth $800B? are they even making it.. uende kote idea ya utafaut ndo itakutoa kibiashara,
 
Inabidi nikirudie hichi kitabu Oitlier naona nimekiripuaripua tu.
vitabu nshasoma vingi mno yani na hapa nilipo namaljzia memoir ya founder wa nike....
chances za wewe kutoboa ukiwa huna kitu kabisa ni ndogo mno kuliko chance za aliye na pesa kufilisika sijui kama unanielewa.....

usshasoma outliers cha malcom gladwell
 
Watanzania ni watu wenye wivu hata kama karithi tatizo ni Baba yako kutotengeneza hela urithi
 
Mengi fa*a tu naye, mpaka anakufa hakuwa ameweka mikakati ya nani atasimamia mali zile badala yake anamwachia yule slay queen kupitia majina ya watoto. Kwanini asingeweka misingi mizuri ya wanae wakubwa kusimamia zile mali badala yake anamoabidhisha mwanamke... K bhana inazuzuaga watu kweli.

We ndugu yangu wewe, tulia mwache Mzee wa watu ajipumzikie.... huwezi kujua aliyopitia.

Kwa nyepesi tu ni kwamba hata hao watoto ilikuwa ni kimkakati katika kutimiza hilo unaloita ‘misingi mizuri ya urithi’, kizazi cha kwanza (first generation) ndo hao kina Regina unaowajua hawana mtoto wala hawana mpango wala dalili na wapo kwenye late 40’s.... hebu fikiria Mzee angefanya nini ili kuhakikisha mwendelezo wa uzao utakaoendeleza mali kwa kurithishana..?
 
Mengi aliharibu yeye mwenyewe kwa kuimuingiza kwenye system alizojenga yule slay queen kisa mahaba

Angefanya nini wakati alihitaji watoto, baada ya kizazi chake cha kwanza kuonekana sio endelevu.... fikiria mzee baba.
 
Nasisitiza tena umetudanganya.

Mshahara wake ulikua ni around $220,000 per annual.

Kwa vyovyote iwayo, ingawa sikutaja ‘figure’ kamili na hata hivyo sio zetu.... sio msemaji wake na sinufaiki kwa namna yoyote ile.
 
Mkuu kwani METL inarun na mtu m1? Kwani hajaajiri Marketing Managers,Sales Manager,Co-operate Manager,Customer Experience Manager and the like? Hao ndio wanaomsaidia kazi,hata MO hasipokuwepo kampuni itaendelea,hata SSB Said Salim Bakhresa asipokuwepo SSB itaenda tu.
Kama unadhani kuwepo kwa hao wasaidizi wake ndiyo kumeikuza kampuni basi si sawa. Kampuni inaweza kuwa na watu kama hao na bado isiendelee kama board of directors au wanahisa hawatakuwa na vision na strategies sahihi.

Maana hao mameneja wa idara mbalimbali wanatekeleza maamuzi ya bodi ya ma directors wa kampuni na hao directors wanafata maamuzi ya mkutano wa wanahisa wa kampuni. Hawa ndiyo wanaamua ulelekeo wa kampuni.

Na kwa vile Mo ndiye majority shareholder wa Metl basi yeye ndiye anaamua uelekeo wa business za Metl. Maamuzi yake ndiyo yanafanyiwa kazi na watu wa chini yake. So kama akiamua vibaya basi anaiangusha biashara...akifanya maamuzi mazuri basi baishara ina grow.

So hata Mo akiwa mbali na Metl bado ujue kuwa ni maamuzi yake ndiyo yanayoiongoza biashara yao.
 
mfano mzuri ni hapa hapa JF, fuatilia historia ya max alivoanza mpaka jamii forum kufika valuation ya $3M, in other words you have a poor mindset, biashara haina formular, wangapi wamesoma nje ya nchi na wameshindwa kufanikisha: wakina mond mbna wameishia form 4, mbna nakumat ilikua kubwa dogo kapewa , miezi kadhaa tu zote zmefungwa: maisha hayana formular mzee
Nadhani hujanielewa ungesoma kwa kutulia ungenielewa...Mo kaandaliwa mazingira mpaka chuo kasomea akijua anakuja kufanya Nini ..wewe toa mfano Nani kaandaliwa mpaka elimu anakuja kusimamia (sio kuanza upya) kitu kimetengenezwa akiendeleze then kaja kafeli kusimamia alichoandaliwa...
Sielewi unavyosema poor mindset inarelate vip nachopost.(labda useme na wivu ninao ila wa maendeleo)..mbona mi nakubali hustling za kina shigongo n.k ..kila mtu na mtazamo wake mzee ...we tulia wala mi sijadiss nimeelezea tu kwa tunaonzia chini watu wetu wa kutu-inspire tupambane ni hao..
 
wabongo bana: ingekua ivo sasa makampuni makubwa yasingekufa, biashara sio mtaji tu baba, afterall mtaji sio pesa: mtaji mkubwa ni wazo lako then ndo inafuata hela, wako wapo waliokua na mitaji mikubwa, unawakumbuka nakumat? alierithishwa mbna hajawa tajir?..... wabongo kazi tunayo
Nakumati wana utajiri gani WA kufananisha na utajiri WA Mzee gulam na METL? Nakumat hata hemed WA shabiby anaweza kuwa anawazidi mbali tu?
 
Humu ndani kuna watu wa
Ila ukweli ni kuwa hata leo hii....ikitokea ghafla wote tupo maskin na tuanze kutafta upya

Baada ya mwaka matokeo ytakuwa n yale yale...!!matajiri watakuwa matajiri...maskin watakuwa maskini kama kawa

Umaskini huanzia kichwan
a akili za kimaskini wengi sana
 
Nadhani hujanielewa ungesoma kwa kutulia ungenielewa...Mo kaandaliwa mazingira mpaka chuo kasomea akijua anakuja kufanya Nini ..wewe toa mfano Nani kaandaliwa mpaka elimu anakuja kusimamia (sio kuanza upya) kitu kimetengenezwa akiendeleze then kaja kafeli kusimamia alichoandaliwa...
Sielewi unavyosema poor mindset inarelate vip nachopost.(labda useme na wivu ninao ila wa maendeleo)..mbona mi nakubali hustling za kina shigongo n.k ..kila mtu na mtazamo wake mzee ...we tulia wala mi sijadiss nimeelezea tu kwa tunaonzia chini watu wetu wa kutu-inspire tupambane ni hao..
huyo jamaa hawezi kukuelewa hata kidogo we achana nae.... Kuna sehem anazungunzia founders wa google sijui yahoo af anashindwa kuelewa nn kilikuwepo nyuma yao ndo maana nikamuuliza kashasoma kitabu cha Outliers ?

Akatafute kitabu cha internet wars ajifunze biashara ya hao amazon na google af aje hapa alete maswala ya idea sijui inamtoa mtu

Huyo founder wa google dingi yake alikua prof wa computer huko sa ulitegemea dogo aje kua lawyer.... Mazingira ndo kila kitu ili utoboe hata uwe na idea nzuri kiasi gani ukikosa mazingira huendi kokote chunguza background za billionaires wote uone kuna nn...

Wachache mno mno wanatoboa from scratch.... Unatumia mfano wa diamond wkt kulikua na wsanji kibao wazuri wameshindwa kutoboa mnapowamotivate watu tumieni mifano halisia waambieni wakaze kweli kweli sio tu eti mbona flani kaweza waambieni huyo aliyeweza kaweza weza vp sio bure bure tu
 
Simon Adebisi,

ebu soma tena ulichoandika: by the way are you a bussiness man? maaana usikute naongea na mtu ambae hajawahi gusa biashara: na je unajua unaweza kua billionaire bila ata kugusa kazi yoyote ukiwa na idea tu?

naona kichwan hamna kitu unajua kuhusu bussiness, sioni point yoyote umeandika kama mtu ambae unajua biashara in and out, unaishia tu kutoa mifano ambayo ata we mwenyewe huelewi unaandika nn:


hio issue ya google na yahoo nlikua namwelezea jamaa alietoa mfano wa google na yahoo: and same applies to other bussiness, biashara sio kukaanga chips ujue ilo: apa tunaongelea mpaka biashara ambazo una competitors kabisa maaana mtu anaenda kuchoma chips anakuja kusumbua watu ni mfanya biashara:
 
mfano mzuri ni hapa hapa JF, fuatilia historia ya max alivoanza mpaka jamii forum kufika valuation ya $3M, in other words you have a poor mindset, biashara haina formular, wangapi wamesoma nje ya nchi na wameshindwa kufanikisha: wakina mond mbna wameishia form 4, mbna nakumat ilikua kubwa dogo kapewa , miezi kadhaa tu zote zmefungwa: maisha hayana formular mzee
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba kila aliyefanikiwa anakitu ambacho alifanya kikamtoa kamwe usidanganyike na vitu vya nje anavyofanya,ukiwa unauza duka likija deal lingine hauwezi kuliacha ingawa kwa watu wa nje watakuona wewe ni muuza duka,ukija kutoka watu wataanza alianza kwa kuuza duka ila sasa anamiliki kiwanda pasipo kujua kiwanda ulikipata kwa kucheza deal la kusafirisha mbao za magendo etc,na ndio maana tulidanganyika sana na kina shamimu zeze na kuanza biashara kwa msingi wa elfu 10 na kuna siku Jaqline Mengi atakuja kuleta ngonjera na yeye alianza na mtaji wa elfu 20 na watu wakamuamini.

Nazungumzia fortunes na sio utajiri wa kibongo.
 
Inawezekana kutoboa from scratch ila ni one in a million na ni rahisi sana kutoboa kama tayari wazazi wako washaweka mambo yote fresh tusidanganyane. Wengi humu ni ma motivational speakers mnaongea vitu imaginary haviapply kibongobongo.
Mtu anaenzia from scratch kibongobongo lazima either anafanya biashara si halali, fisadi, mla rushwa au mkwepa kodi.
Hapa naongelea utajiri mkubwa sio ela ya kubadili chakula ma magari
 
Savimbi Jr,


unajua unaongea na mtu ambae maisha yake yote ni mfanya biashara? je wewe unafanya biashara ama ndo unasaidia kufikisha maneno kua kila aliefanikiwa kuna kizizi nyuma yake? we endelea kuwaza hivo hivo utafika unapopawaza usijali:

bora huyo alianza na mtaji wa 10K wengine tulianza tukiwa empty kabisa tukasaidiwa tu na tukajiendeleza, sasa we endelea ivo ivo 😂 😂 😂
 
Inawezekana kutoboa from scratch ila ni one in a million na ni rahisi sana kutoboa kama tayari wazazi wako washaweka mambo yote fresh tusidanganyane. Wengi humu ni ma motivational speakers mnaongea vitu imaginary haviapply kibongobongo.
Mtu anaenzia from scratch kibongobongo lazima either anafanya biashara si halali, fisadi, mla rushwa au mkwepa kodi.
Hapa naongelea utajiri mkubwa sio ela ya kubadili chakula ma magari


acha kupotosha watu: ni rahisi kutoboa ukianza from 0 than kukuta kila kitu tayar, kuna kitu kwenye biashara kinahusiana na direction, ukikuta biashara ya mtu ni ngumu kuendeleza kwa sababu your not part of that target: wangap waliachiwa ,mali wakapoteza kila kitu: angalia tu viwanda vya serikali vilivokuepo zaman wakati wa nyerere, sasahivi vipo wap? huo ni mfano public, zili treni zilitumika zaman zipo wap? ama maraisi wanatumia vizizi?

wako wapi wakina nakumat? ipo wap fiesta iliokua inaandaliwa na ruge? mifano ni mingi go do research
 
Back
Top Bottom