USA alianza kufanya figisu za kibiashara kwa bidhaa za china kwa kuweka kodi kubwa bidhaa km steel, electronics pamoja na kupiga propanganda na marufuku kwa simu za huawei Nchni USA. Wachina nao wamejibu bidhaa aina 168 zimeongezwa kodi kwa 25% zikiwemo bidhaa kilimo, nyama hasa hasa kitimoto. USA wanaamini China kapiga hatua za kimaendeleo kwa sababu ya kupata access a kuuza USA.. Mchina anasema yupo teyari kurudi kwenye negotiations na USA but wakimwaga ugali watazifurusha kampuni za usa zilizo invest China. Binafsi naona wote wataloose kwenye vita hii..Mchina anajidai kwa population ya 1.3 billions na majority wakiwa kipato cha kati binafsi usa wanahtaji soko la china.. Usa wana population zaidi ya 300mil na majority wakiwa kipato cha kati na kikubwa..Mchina analitaka soko hili. Wakubwa wanapambana vita ya kiuchumi...Hatari sana..Madogo tushike jembe tukalime. Mgogoro huu pia najua unachangiwa sana na Korea Peninsula. Waziri wa Fedha wa Canada ameshaingia viunga vya Beijing kuona ni jinsi gani wanapush biashara na mchina. Canada wanataka waibebe fursa ya hiyo nimemsikia waziri anabisha changamoto ya Canada hakuna spenders km usa kwanza hata population yao ndogo sana km Australia tu around 36 Milions.
Vita hii now kubwa sana. Mataifa makubwa yameshaona yanatumika na usa kwa manufaa ya usa pekee. Kasi ya maendeleo ya china imemtisha usa.tukubali au tukatae USA now amekuwa km mbwa koko duniani siyo marekani yule..hana influence tena duniani km zamani. Siku hizi unaweza ona hata vitaifa vidogo vikaenda against naye rejea suala la jerusalem. hata sisi tulisema No for USA..Ushawishi wa USA ndani ya Jumuiya ya Ulaya umepungua sana na hii inatokana na U.K ambaye mshirika mkuu wa USA kujitoa ndani ya Ulaya. USA kujitoa kwenye Paris agreement nayo iliwaudhi sana wa Paris na sidhani km Rais kijana wa Paris(france) anazielewa sera za Trump. U.K kujitoa ulaya ni mkakati wa U.k kuwa na wafuasi wake na yeye. Return ya british great again. Ulaya wameshtuka zaidi ya miongo mitano USA imekuwa ikiwatumia kwa manufaa yake tu.. Na chini ya kapeti U.K wanaanzisha uhusiano wa kibiashara na CHINA (bilateral). Nilisoma gazeti moja, USA now wanalalamika China kaichukua influence yao Africa..Na hiyo ni kweli, Viongoz wa Africa wanampenda mchina kwakuwa hawaangilii masuala ya ndani hasa ya politics na human rights not like USA. Na of-course ili uwe great nation lazma uitawale Africa tu..huku ndiyo sehemu ambayo unaweza ukapata rasilimali ka bei ya cheee. Mchina lazma aje tu sana. Mchina anachimba mafuta South Sudan na hiyo ya vita ya yenyewe kwa yenyewe haitoisha mpka kaka mkubwa (USA) apate na yeye sehemu ya kuchimba..la sivyo.. hapata tulia.
Vita kubwa kati ya Trump Rais mwenye roho ya kibepali na mfanya biashara jeuri asiye na miiko kwenye kusema Vs. XI Jinping Rais mpole usoni km JK but liJasusi km Putin. Hii ni vita kati ya mzungu na mvimba macho au kati ya white na red. Tushike majembe tukalime
Ukiangalia balance of trade (export - import) kati ya usa na china.. trade imbalance kwa usa. yaani usa ana imports in china than exports (https://www.census.gov/foreign-trade/balance/c5700.html)..kumbe USA alikuwa anapigwa 3 bila nyumbani.
Je vita hii ya kiuchumi Africa tunajifunza nini..au bado tunaomba Mungu atuletee mvua wakati ametupa akili ya kutengeneza mvua/ kupanda miti.
Vita hii now kubwa sana. Mataifa makubwa yameshaona yanatumika na usa kwa manufaa ya usa pekee. Kasi ya maendeleo ya china imemtisha usa.tukubali au tukatae USA now amekuwa km mbwa koko duniani siyo marekani yule..hana influence tena duniani km zamani. Siku hizi unaweza ona hata vitaifa vidogo vikaenda against naye rejea suala la jerusalem. hata sisi tulisema No for USA..Ushawishi wa USA ndani ya Jumuiya ya Ulaya umepungua sana na hii inatokana na U.K ambaye mshirika mkuu wa USA kujitoa ndani ya Ulaya. USA kujitoa kwenye Paris agreement nayo iliwaudhi sana wa Paris na sidhani km Rais kijana wa Paris(france) anazielewa sera za Trump. U.K kujitoa ulaya ni mkakati wa U.k kuwa na wafuasi wake na yeye. Return ya british great again. Ulaya wameshtuka zaidi ya miongo mitano USA imekuwa ikiwatumia kwa manufaa yake tu.. Na chini ya kapeti U.K wanaanzisha uhusiano wa kibiashara na CHINA (bilateral). Nilisoma gazeti moja, USA now wanalalamika China kaichukua influence yao Africa..Na hiyo ni kweli, Viongoz wa Africa wanampenda mchina kwakuwa hawaangilii masuala ya ndani hasa ya politics na human rights not like USA. Na of-course ili uwe great nation lazma uitawale Africa tu..huku ndiyo sehemu ambayo unaweza ukapata rasilimali ka bei ya cheee. Mchina lazma aje tu sana. Mchina anachimba mafuta South Sudan na hiyo ya vita ya yenyewe kwa yenyewe haitoisha mpka kaka mkubwa (USA) apate na yeye sehemu ya kuchimba..la sivyo.. hapata tulia.
Vita kubwa kati ya Trump Rais mwenye roho ya kibepali na mfanya biashara jeuri asiye na miiko kwenye kusema Vs. XI Jinping Rais mpole usoni km JK but liJasusi km Putin. Hii ni vita kati ya mzungu na mvimba macho au kati ya white na red. Tushike majembe tukalime
Ukiangalia balance of trade (export - import) kati ya usa na china.. trade imbalance kwa usa. yaani usa ana imports in china than exports (https://www.census.gov/foreign-trade/balance/c5700.html)..kumbe USA alikuwa anapigwa 3 bila nyumbani.
Je vita hii ya kiuchumi Africa tunajifunza nini..au bado tunaomba Mungu atuletee mvua wakati ametupa akili ya kutengeneza mvua/ kupanda miti.