curie JF-Expert Member Oct 25, 2020 664 1,489 Apr 6, 2021 #1 Nimependa sanaa mh Rais kujiweka kando na neno Mnyonge kwani ilikuwa namna moja ya kutuhujumu watanzania alamski
Nimependa sanaa mh Rais kujiweka kando na neno Mnyonge kwani ilikuwa namna moja ya kutuhujumu watanzania alamski
ERoni JF-Expert Member Jan 9, 2013 43,618 89,993 Apr 6, 2021 #2 Mwambieni VP aache basi kuutumia manake naona yeye karithi huo msemo kwa mzee baba.
Lusungo JF-Expert Member Jan 4, 2014 27,123 39,337 Apr 6, 2021 #5 Hata wokovu wa Yesu haukuja kwa maskini tu.... hata Matajiri
M Marwa_J_Merengo JF-Expert Member Aug 6, 2018 4,512 6,856 Apr 6, 2021 #7 Mi nasubiria nione kama ulinzi wake utakuwa kama ule wa mzee wetu ama yeye atalindwa na FFU
Pac the Don JF-Expert Member Feb 17, 2021 6,177 7,699 Apr 6, 2021 #8 curie said: Nimependa sanaa mh Rais kujiweka kando na neno Mnyonge kwani ilikuwa namna moja ya kutuhujumu watanzania alamski Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
curie said: Nimependa sanaa mh Rais kujiweka kando na neno Mnyonge kwani ilikuwa namna moja ya kutuhujumu watanzania alamski Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
mjombakim JF-Expert Member Sep 10, 2017 1,193 1,851 Apr 6, 2021 #9 Yaani mama tuna mpa miaka 1000 yaani ongea yake tu ata maumivu ya kodi hatuwezi kuyasikia mama mwenye moyo safi adi 😭 yaani kachelewa kuwa Rais wetu
Yaani mama tuna mpa miaka 1000 yaani ongea yake tu ata maumivu ya kodi hatuwezi kuyasikia mama mwenye moyo safi adi 😭 yaani kachelewa kuwa Rais wetu
curie JF-Expert Member Oct 25, 2020 664 1,489 Apr 7, 2021 Thread starter #10 Nilikuwa sipendi neno Mnyonge kuliskia kwenye popote
J jabulani JF-Expert Member Aug 1, 2015 5,547 11,694 Apr 7, 2021 #11 Mama Samia rudisha mbio za mwenge ili utawala wako usijawe na misukosuko ama kufariki kabla hujamaliza muhula wako.
Mama Samia rudisha mbio za mwenge ili utawala wako usijawe na misukosuko ama kufariki kabla hujamaliza muhula wako.
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,885 Apr 7, 2021 #14 jabulani said: Mama Samia rudisha mbio za mwenge ili utawala wako usijawe na misukosuko ama kufariki kabla hujamaliza muhula wako. Click to expand... Kwani Mwenge ulizuiwa lin??
jabulani said: Mama Samia rudisha mbio za mwenge ili utawala wako usijawe na misukosuko ama kufariki kabla hujamaliza muhula wako. Click to expand... Kwani Mwenge ulizuiwa lin??
mama D JF-Expert Member Nov 22, 2010 19,760 35,205 Apr 7, 2021 #15 Our own Samia Suluhu Hassan, Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Eee mwenyezi Mungu tutunzie mama yetu Mama wa taifa Ironlady Your browser is not able to display this video. Kazi iendelee😍🇹🇿👍💪
Our own Samia Suluhu Hassan, Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Eee mwenyezi Mungu tutunzie mama yetu Mama wa taifa Ironlady Your browser is not able to display this video. Kazi iendelee😍🇹🇿👍💪