JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,294
- 7,240
Atasikia atakapovuja damu masikioni.Kenge sio msikivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atasikia atakapovuja damu masikioni.Kenge sio msikivu
Tutaelewana kidogo kidogo tu acha tuoneshane makali😅
Sukuma Gang na MATAGA wanakomeshwa😁😁😁😁Endeleeni kutetea CCM muone inakowapeleka.
Amani ya Mungu iwe naweHii ni ishara katika ulimwengu wa roho kwamba kuna kitu watawala bado wanaendelea kumkosea Muumba wetu, Ishara hii ya mvua kuchelewa si nzuri, bado watawala wetu wana muda wa kujisahihisha...
Kwani umesha nunua jenereta ?Rip magufuli. Huko aliko analia na kuwahurumia watanzania jinsi tunavyoteseka ..hii laana itawatafuna kwa wanachowafanyia watanzania
Sukuma gang walishatumbuliwa ili wasihujumu.Mmewaudhi watu wa milk zone ambao ndio wameshikilia idara nyeti hapa nchini,hivyo wanawahujumu.hakuna mchawi hapo
Mama yenu leo anaenda huko milk zone kuwaomba msamaha
Acha machinga nao wajiajiri kwenye kuuza maji.Acha tuwe droo dumu moja jero
Bwashee, ndio tumefungua nchi sasaMtanikumbuka!
Jamaa yangu anasema ameambiwa aagize China Majenereta 500 kwa kuanzia. Na mtaji kapewa kuongezea.
Wameandikishana na mchakato umeshafanyika mtu mkubwa mmoja kamwambia hawezi agiza kwa jina lake so atamtumia yeye...
Hamna mtu anakumbuka jizi la kura.Mtanikumbuka!
Hii hoja sijawahi ielewa, Yaani hao matajiri wazuie umeme ili wauze majenereta kwani wao viwanda vyao havitumii majenereta? Hawajui umeme ukikosekana hata mauzo ya vinywaji vyao havitauzika? Hawajui bei ya bidhaa itapanda hivo itapunguza disposal income ya kununua bidhaa zao etcJamaa yangu anasema ameambiwa aagize China Majenereta 500 kwa kuanzia. Na mtaji kapewa kuongezea.
Wameandikishana na mchakato umeshafanyika mtu mkubwa mmoja kamwambia hawezi agiza kwa jina lake so atamtumia yeye.
Umeme mgao haukuwepo kwa muda mrefu sana. Ilikuwa umeme hauwezi katika kila siku na kwa masaa mengi kama sasa. Kinachoendelea kuna watu wanafahamu jikoni kunapikwa nini.
Maji huku niliko sasa ni siku ya 7 hayatoki. Na hatuelewi kitu gani kinaendelea. Hii tabia angalau kipindi cha nyuma haikuwepo. Je ni makusudi au ni dharau?
Tuache unafiki, mgao wa umeme na maji vyote vilikuwapo ila haikuwa rasmi. Tanesco walipigwa marufuku kutangaza mgao na kuna watu walifukuzwa kazi.
Kongole sana na Mungu akubariki ndugu FUSO .Hii ni ishara katika ulimwengu wa roho kwamba kuna kitu watawala bado wanaendelea kumkosea Muumba wetu, Ishara hii ya mvua kuchelewa si nzuri, bado watawala wetu wana muda wa kujisahihisha.
CCM hebu jirekebisheni, acheni kuonea watu - machozi ya roho zao yanamlilia Muumba wao - hamtakia salama kama mtadharau ishara hii, Mungu anajaribu kuongea na ninyi. Acheni kuonea watu.
Weka ushahidi.Jamaa yangu anasema ameambiwa aagize China Majenereta 500 kwa kuanzia. Na mtaji kapewa kuongezea.
Wameandikishana na mchakato umeshafanyika mtu mkubwa mmoja kamwambia hawezi agiza kwa jina lake so atamtumia yeye.
Umeme mgao haukuwepo kwa muda mrefu sana. Ilikuwa umeme hauwezi katika kila siku na kwa masaa mengi kama sasa. Kinachoendelea kuna watu wanafahamu jikoni kunapikwa nini.
Maji huku niliko sasa ni siku ya 7 hayatoki. Na hatuelewi kitu gani kinaendelea. Hii tabia angalau kipindi cha nyuma haikuwepo. Je ni makusudi au ni dharau?