Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni. Kumeanza Mgao wa Umeme na Maji

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,355
11,500
Jamaa yangu anasema ameambiwa aagize China Majenereta 500 kwa kuanzia. Na mtaji kapewa kuongezea.

Wameandikishana na mchakato umeshafanyika mtu mkubwa mmoja kamwambia hawezi agiza kwa jina lake so atamtumia yeye.

Umeme mgao haukuwepo kwa muda mrefu sana. Ilikuwa umeme hauwezi katika kila siku na kwa masaa mengi kama sasa. Kinachoendelea kuna watu wanafahamu jikoni kunapikwa nini.

Maji huku niliko sasa ni siku ya 7 hayatoki. Na hatuelewi kitu gani kinaendelea. Hii tabia angalau kipindi cha nyuma haikuwepo. Je ni makusudi au ni dharau?
 
Wanasababisha tatizo halafu watatatua ili waanze kujisifia kwa wananchi wao ni mashujaa 😅😅😅 Tanzania bana
 
Mmewaudhi watu wa milk zone ambao ndio wameshikilia idara nyeti hapa nchini, hivyo wanawahujumu. Hakuna mchawi hapo
Mama yenu leo anaenda huko milk zone kuwaomba msamaha.
 
Hii ni ishara katika ulimwengu wa roho kwamba kuna kitu watawala bado wanaendelea kumkosea Muumba wetu, Ishara hii ya mvua kuchelewa si nzuri, bado watawala wetu wana muda wa kujisahihisha.

CCM hebu jirekebisheni, acheni kuonea watu - machozi ya roho zao yanamlilia Muumba wao - hamtakia salama kama mtadharau ishara hii, Mungu anajaribu kuongea na ninyi. Acheni kuonea watu.
 
Hii ni ishara katika ulimwengu wa roho kwamba kuna kitu watawala bado wanaendelea kumkosea Muumba wetu, Ishara hii ya mvua kuchelewa si nzuri, bado watawala wetu wana muda wa kujisahihisha.

CCM hebu jirekebisheni, acheni kuonea watu - machozi ya roho zao yanamlilia Muumba wao - hamtakia salama kama mtadharau ishara hii, Mungu anajaribu kuongea na ninyi. Acheni kuonea watu.
Kenge sio msikivu
 
Back
Top Bottom