Shetemba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 882
- 887
Unataka kuniambia kuwa nilipoteza muda wangu mpaka saa 4 ya usiku nikulinda kura zako pale Msigani ili usiibiwe.
Siamini kama huyu Kisena anaweza kukuweka mfukoni kiasi hicho wakazi wako tunateseka na haya mabasi ya UDART.
Sasa kupitia hapa JamiiForums tunakuomba uje hapa Mbezi ili kwa pamoja tuamue tuendelee na mwendokasi au turudie daladala zetu kama zamani.
Siamini kama huyu Kisena anaweza kukuweka mfukoni kiasi hicho wakazi wako tunateseka na haya mabasi ya UDART.
Sasa kupitia hapa JamiiForums tunakuomba uje hapa Mbezi ili kwa pamoja tuamue tuendelee na mwendokasi au turudie daladala zetu kama zamani.