Mnyika: Uamuzi wa mahakama umetengeneza athari na madhara kwenye mfumo wa utoaji haki katika taifa letu

Chadema fanya mchakato mpate kaimu mwenyekiti as makamu wa mwenyekiti yupo nje ya nchi ili muwe na vikao vya kuendesha chama na kufanya maamuzi.vinginevyo nasikitika kusema hiki chama kinakwenda kufa
Umejaaliwa kipaji cha kukariri
 
Shida ya Mbowe ni uenyekiti, aachie uenyekiti Chama kiongozwe na mtu mwenye maono. Tushachoka na huyu bibi kidude na lichama lake, kumkabili ukiwa jera ni vigumu. We need a smart active head!

(Sasa kwa makuku yalonyeshewa kama mitanzania tutaishia kuandamana mioyoni)
Apewe nani kwa mfano...Babu Mdee au Balaya
 
Shida ya Mbowe ni uenyekiti, aachie uenyekiti Chama kiongozwe na mtu mwenye maono. Tushachoka na huyu bibi kidude na lichama lake, kumkabili ukiwa jera ni vigumu. We need a smart active head!

(Sasa kwa makuku yalonyeshewa kama mitanzania tutaishia kuandamana mioyoni)
Mtoa post naku mind. You are stinky bitch.
 
Shida ya Mbowe ni uenyekiti, aachie uenyekiti Chama kiongozwe na mtu mwenye maono. Tushachoka na huyu bibi kidude na lichama lake, kumkabili ukiwa jera ni vigumu. We need a smart active head!

(Sasa kwa makuku yalonyeshewa kama mitanzania tutaishia kuandamana mioyoni)
Walikula mabilioni 2015 kumpa fisadi tiketi ya kugombea,wanajinufaisha kupitia tumaini la wanyonge..acha walipe
 
Haki, wajibu, uhuru na demokrasia. Iwapo kila aaminiye na kujifanyisha, kujidai, kujiburisha, kujijeurisha, kuwa mdharau, kujimilikisha utanzania na userikili kupitia genge au kundi la kihuni na kipumbavu la kofia ya uccm na uccm matumbo haramia na watu wakaamini wakaaminishwa, wakapata utisho basi nchi, serikali na mamlamka vinakuwa ni mfu. Nitoe rai kubishana ni afya na ni afya ya maendeleo, wajibu wa kukubali kutokukubaliana huku kila mmoja akiheshimu njiapanda mgawanyo wa kifikra na maono usio athiri tanzania na utanzania wenyewe ni matokeo ya elimu madhubuti na wenye elimu madhubuti iliomtambuka au siasa yenyewe. Mimi na wengine kuwa CCM haitufanyi kupata utume wala umalaika wa kitanzania na utanzania katika nyanja za uwajibikaji, unufaika, haki, uhuru, demokrasia,na mengineyo.

Uhuru na Umoja vipo kama Nguzo yetu na Nguzo yetu iwe ni Uhuru na Umoja.

Ebu tufikiri kwa mapana maneno haya:

Uhuru-nini tafsiri yake pana,jumuishi na mtambuka?

Umoja-nini tafsiri yake pana, jumuishi na mtambuka?

Taifa, Nchi, Serikali havilindwi, kutumikiwa, kuheshimiwa kwa muktadha wa faida na uelewa binafsi bali wa hivyo vitu vyenyewe yaani Taifa, Nchi, na Serikali. Hivi navyo viwe katika misingi ya utimamu wa Maandiko yetu yaani Katiba.

Nitoe Rai Mkuu wa Majeshi, Makamanda na Wapiganaji wote. Viapo vyenu vinamatobo naona kwa hawa Makomandoo walioteswa, Kama itakuwa hivi na aina ya Majumuisho ya huyu Jaji Siani, ipo disaster mbele yetu.

Je, ni haki, ni wajibu, ni uhuru na demokrasia kofia ya ukomandoo wa mtu umfanye awe maskini? Jukumu la kukumbushana viapo tukiwa na private life ni la nani? Court Martial kwa Tz kazi yake nini, kwajili ya nani na wakati gani?

Je, Kingai, Mahita na wengine mtakuwa salama mbele ya safari, maana Samia ataondoka wanafunzi wa hawa makomandoo wanajisikiaje kwa sasa?.

Kipekee nigusie CDF vijiweni vijana wako wanasema umezidi upole na februari au march haiko mbali utastaafu.

Tukivimba leo tujiandae na mivimbo ya kesho na mtondogoo na hata milele.

Maumivu ya kidonda hutoweka bali kumbukumbu na doa hubakia.

Kipekee nitoe pole na kuwaombea Lijenje, Ling'wenya na etc. Duniani tunapita ila Tanzania ni yetu sote na tuilinde wote. Msiogope tunawajibu wa viapo vyetu aidha miongoni mwetu, binafsi, jeshi na nchi yenyewe. Utiifu wetu haupaswi kutiliwa shaka kwa misingi ya vyama vya siasa, hiari ibaki hiari, katazo liwe katazo kwa wote, haki,uhuru, demokrasia viwe kwa wote, alie ccm,chadema, cuf kama alipita jeshi, polisi, magereza, tis, na vyombo vingine. Swali Lubinga, Kikwete, Mkuchika, na wengineo CCM wameishije na kutumikaje na viapo vyao vya kijeshi? Marando aliishije chadema, nccr etc.?

Je, kuna wenye haki ilioturufu na Tanzania?

Eeh Mungu uliye wetu sote na kwa mfano wako katika yote. Tujaalie mapokeo yenye kukutanguliza wewe ili tuishi na kuenenda vile ipasavyo tukiwa hapa duniani na njiani huko uliko ambako ni kwema na kwenye nuru isiyo kipimo.

Utiifu kwako na nchi ya Tanzania ni wa lazima na wajibu wa kimsingi kwangu. Ameen.
 
Hivi kwa mwaka mmoja si wanakuwa wameongea mara nyingi sana hawa
Yaani Mnyika a.k.a msukuma feki! Hivi nyinyi si huwa mnasema mnafata sheria kesi ikiwa inaendelea wanasema hupaswi kuizungumzia ili usiweke shikizo kwa maamzi ya mahakama hawa CHADEMA vip au wao sheria sio kitu kwao ni kwa wengine!?
 
Back
Top Bottom