Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Rubbish
Mbowe mara nyingi sio muongeaji, ila baada ya kikao cha kamati kuu, lazima ataongea kutoa mrejesho.Tatizo kubwa hao wanawake wana mahusiano na viongozi hii ni tatizo.
Nimeshangaa Mdee, anasema zaidi ya mara moja wana baraka za Mbowe na Mbowe yupo kimya tu.
Chadema wasipokuwa makini kwenye hii issue basi tena safari ya kuwa kama TLP au NCCR Mageuzi imewadia.
Kama hakuna chama mbona serikali inahitaji wabunge kutoka hapo.Mkuu Una uhakika lakini na unachosema , Bora upige kimya tuu....hakuna chama palee
RightMbowe mara nyingi sio muongeaji, ila baada ya kikao cha kamati kuu,lazima ataongea kutoa mrejesho.
Hiyo fomu haiwezi kujazwa gerezani?Majawabu ni kwamba form number 8 d ya Mfungwa Nusrat imezidi kuwaacha uchi CCM 🤣🤣🤣
Walikiri wenyewe, kwa hiyo tunanukuu! Maana yake mwenyekiti na hao wabunge viti maalum lao ni mojaAkili yako muda wote inawaza ngono tu
Fire, fire. Fire is burningUfipa mambo ni fire!
Kesho ndio kesho!Fire, fire. Fire is burning
Hata wewe mwenyewe unajua wazi kuwa Mdee hawezi kufukuzwa.Fukuza hao wasaliti wabaki kuwa wabunge wa CCM.
Una elimu gani? Tuanzie hapo
Wewe ukiridhika inatosha.Peleka upuuzi huko.
Mimi sio mwanachama wa Chadema kama ndicho unachomaanisha.
Halafu kama hujaridhika na maelezo ya huyo katibu wao si unaweza ku-hire private investigator awachunguze.
Idiot.
Hahahah mataga huu ugoro kula na mataga wenzako.Hiyo fomu haiwezi kujazwa gerezani?
Mambo yanabadilika kwa kasi sana!hahahah mataga huu ugoro kula na mataga wenzako.