Fifty fifty nilikosa mgao wa Escrow, roho inauma sana
Njoo nikugawie mi nilipata
Hivi inakuwaje Dar kuna bahari halafu watu wanalalamika hakuna maji? Si muende mkachote maji baharini.
Kesho tukionana unibebee kidogo nipunguze machungu, mida ile ile ya juzi nadhani itakua Poa
Fifty fifty nilikosa mgao wa Escrow, roho inauma sana
Usijali nitabeba za kutosha... Same venue eeeeh...
Tatizo wewe sio Nshomile
Tatizo wewe sio Nshomile
Yes Sweetie, see you then. Love you kama Escrow. Take care
Anamipango mingine hana mpango na jimbo lake tena.