Mnyika kushinda kupitia upinzani ni fundisho kwa chama tawala. Chama tawala kijifunze kuwa hii nchi sio ya CCM tu. Inabidi rushwa ipingwe kwa juhudi zote na wanaokamatwa kwa rushwa wachukuliwe sheria stahili, na sio kulindana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.