Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,161
- 4,571
Tuachie chama chetu, hauna mkakati wowote kuhakikisha tunasimama kama enzi za Dk Slaa.
Mbaya zaidi chama kama chama kinafanyiwa maonevu makubwa lakini hauchukui hatua hata kushitaki UN na tume za haki ya binadamu.
Chama kinazolota lakini huchukui hatua kabisa. Unalipwa posho kubwa bure tu ndio maana unakuwa na mambo yako tu.
Mbaya zaidi chama kama chama kinafanyiwa maonevu makubwa lakini hauchukui hatua hata kushitaki UN na tume za haki ya binadamu.
Chama kinazolota lakini huchukui hatua kabisa. Unalipwa posho kubwa bure tu ndio maana unakuwa na mambo yako tu.