Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,641
- 93,349
Nyalandu anatuhuma nyingi sn
Kwa serikali dhalimu kama hii inahitaji moyo snHakuna cha uzalendo wala mapenzi kwa chama chochote hapo, bali ni kuganga njaa. Aliyezoea kula bila kunawa hawezi kuishi upinzani. Kuna ushujaa, njaa na mateso.
Ndani ya CHADEMA, CCM au kiujumla?Nyalandu anatuhuma nyingi sn
Kabisa..Upinzani waache tabia ya kukumbatia wanaccm...wavune wasio na vyama hasa vijana
Wakati akiwa Waziri hivyo lazima atafute pakufichaNdani ya CHADEMA, CCM au kiujumla?
Ila CHADEMA nao kwa kuzoazoa hawajambo.....anyway tuache kazi iendelee!Wakati akiwa Waziri hivyo lazima atafute pakuficha
SawaIla CHADEMA nao kwa kuzoazoa hawajambo.....anyway tuache kazi iendelee!
Naona kama mnawaonea wakina Mnyika. Wao wana tofauti gani na wapinzani wao ambao wanasema wazi kuwa hamna mabadiliko, kazi inaendelea? Kwa nini mabadiliko mnataka yawe ya upande mmoja tuu?Mnyika anashindwa kusema ' we wish them all the best' huko waendako?
Why ana invite siasa za vijembe?
Na siasa za ukamanda na uhanaarakati bado zipo?..
Huu ni mwaka 2021 na Rais ni Samia kutoka Zenji...
Kuendeleza siasa zilezile ni kujiua kisiasa
Ndiyo siasa zetu Bongo! Yani nilipiga twita huko wakina Maria na Fatuma wao wanapost twite ata 20 kwa siku alafu sasa vitu vyenyewe wanavyoviandika vya kuandika wachanga na mashabiki wa siasa lakini unakuta wanaandika wao? Kwaiyo tu siasa za upinzani ni zakihanarakati zaidi.Mnyika anashindwa kusema ' we wish them all the best' huko waendako?
Why ana invite siasa za vijembe?
Na siasa za ukamanda na uhanaarakati bado zipo?..
Huu ni mwaka 2021 na Rais ni Samia kutoka Zenji...
Kuendeleza siasa zilezile ni kujiua kisiasa
Wewe nae huna jipya,bora ungeendelea kukaa kimya tuu.Mnyika anashindwa kusema ' we wish them all the best' huko waendako?
Why ana invite siasa za vijembe?
Na siasa za ukamanda na uhanaarakati bado zipo?..
Huu ni mwaka 2021 na Rais ni Samia kutoka Zenji...
Kuendeleza siasa zilezile ni kujiua kisiasa
Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema chama hicho kilifahamu kuwa Lazaro Nyalandu na Seleman Mathew,
Leo hii Chadema imeamua kumtumia Nyalandu Kuendeleza siasa zao za maji taka.Hawa ni wasaliti, wamejiongeza wameshindwa kuvumilia baada ya mateso ya kuporwa ushindi wa ubunge mwaka 2020. Chadema itasonga mbele
Kumbe unawajua.Chadema endeleeni kua darasani juu ya siasa mlipuko
Wewe ndo maji taka!Leo hii Chadema imeamua kumtumia Nyalandu Kuendeleza siasa zao za maji taka.