Tatizo Mahela aliwekwa hapo kupokea na kutekelezwa maagizo toka juu. Inawezekana kabisa hata hizo sheria na Taratibu zilizotumika hazijui.Kumaliza Mgogoro wa Wabunge 19 Tume ina Nafasi Muhimu ya Kuumaliza.
1 Tume ya Uchaguzi iueleze Umma wa Watanzania Utaratibu ULIVYO Kisheria Wabunge wa Viti Maalumu Mchakato wa Kuwapata Ukoje ili tujue kama hao 19 waliufuata kisheria...
Tume na Ndugai ni wahanga tu,wameachiwa mzigo na mwendazake,ili kuzihadaa jumuia ya kumataifa,Huu mgogoro hautaiacha salama tume
Tume na Ndugai ni wahanga tu,wameachiwa mzigo na mwendazake,ili kuzihadaa jumuia ya kumataifa,Huu mgogoro hautaiacha salama tume
Kumaliza Mgogoro wa Wabunge 19 Tume ina Nafasi Muhimu ya Kuumaliza.
1 Tume ya Uchaguzi iueleze Umma wa Watanzania Utaratibu ULIVYO Kisheria Wabunge wa Viti Maalumu Mchakato wa Kuwapata Ukoje ili tujue kama hao 19 waliufuata kisheria
2.Tume ya Uchaguzi iijibu barua ya Chadema ambayo huu ni Mwezi wa 5 hawataki Kuujibu kwanini Wanasita kutoa Majibu?
3.Tume ya Uchaguzi Utufafanulie Watanzania ilikuwaje Yule Mwanachama wa Chadema alikuwa Mahabusu akatolewa Usiku na kwenda kuapishwa je Mchakato wake nae ulikuwaje
Umemchangia Mdude lakini?!
Kama mnajua hakuna mahakama, hakuna bunge vyote mali ya CCM wewe na Mnyika mnalialia nini mitandaoni!?.. nendeni kwa Samia ndo pa mwisho au waache akina Mdee wale pesa za ubunge.
Mdogo mdogo tu tutafikaKatibu mkuu wa cdm John Mnyika ameonyesha form 19 zilizo tumwa na NEC kwenda cdm ili wazijaze baada ya kupendekeza wabunge 19 na kuzirudisha NEC...
Mbona unademka mkuu swali fupi tu maelezo meeeeengi, nani alipeleka majina ya uteuzi? Kwishaitisheni baraza kuu la chama chenu Chadema majibu mtakutana nayo huko ambako wamekata rufaa na wako tayari kuongea yote huko.Nendeni mkayaongee huko kwenye mkutano wa baraza kuu mnaoukwepa kuuitisha
Nani wa kimchomoa mtu mahabusu na kumwapisha kuwa mbunge?,Huo ni mchezo tu, kama walifoji barua mbona Chadema hawaendi mahakamani!?
Hilo la kuondoka, Lema ameshamaliza, kinacho subiriwa ni utekelezaji wake tu!Kwenye Swala la COVID 19, huyu Ndugai anatukosea sana Watanzania, soon tutaanza Kumwomba Mungu Aende zake atuachie Tanzania yetu.
Punguzeni matumizi ya Serikali kwa kutowalipa wasiyohusika. Huo nao ni wizi dhahiri.Hicho ki despatch ulichoweka ni cha CHadema cha NEC kiko wapi? alichosaini mtu wa CHadema? Mnajitekenya na kujichekesha wenyewe.Hako KA DESPATCH kenu mwaweza kuwa mumejisainia ofisini kwenu
NEC wakipokea kitu huwa wana despatch yao ya NEC iko wapi
Wizi kwa ushahidi UPI? Fanyeni kikao cha baraza kuu kwanza mnaogopa nini?Punguzeni matumizi ya Serikali kwa kutowalipa wasiyohusika. Huo nao ni wizi dhahiri.
ChademaMbona unademka mkuu swali fupi tu maelezo meeeeengi, nani alipeleka majina ya uteuzi? Kwisha