Mnyika: Ni miezi 5 sasa NEC hawajajibu barua yangu kuhusu walikopata majina ya Wabunge 19 na nani amesaini fomu zao

Kuomba tafsiri ya sheria juu ya hao wabunge kama ndugai na wenzake wameshindwa. Mahakamani sio mashitaka tu hata ushauri unapatikana kule
Nendeni kwenye baraza kuu lenu la Chadema kama katiba yenu inavyotaka huko mtapata kila kitu acheni kuruka hilo baraza kuu

Mahakamani mkienda wtawarudisha baraza kuu kuwa kamalizaneni process zenu za ndani kwanza kabla ya kusumbua mahakama.
 
Bado nasisitiza huo ni mchezo tu, kwanini CHADEMA wasiitishe mkutano mkuu kutoa maamuzi ya mwisho,wawahoji akina Mdee,waandike barua upya kwa speaker waambatanishe vielelezo Kama alivyodai!?.. wanabaki kulalamika Twitter tu. Kuna ugumu gani hapo!?.. tukiwaambia CHADEMA wanawachezea mchezo hamuelewi.
Ni kweli CHadema wanacheza mchezo wanawachezea akili chadema wenzao sio fair lakini wanachofanya
 
BARAZA kuu kwa nini mnalikwepa nyie? CHADEMA kuna shida sio siri.
Malizeni ya nfani mwenu halafu muhamie chadema, ccm kuna shida nyingi ila mmewakalia chadema kooni, penye haki tusijitoe ufahamu lazima tusema ukweli, Kama kweli chadema hawakupeleka majina NEC tujiulize hao wabunge wanawakilisha chama gani, NECpamoja na bunge wamekiuka taratibu na lazima wakubali kuwahibika waeitunishe misuli kwa kivuli cha serikali
 
ipenye haki tusijitoe ufahamu lazima tusema ukweli, Kama kweli chadema hawakupeleka majina NEC tujiulize hao wabunge wanawakilisha chama gani, NECpamoja na bunge wamekiuka taratibu na lazima wakubali kuwahibika waeitunishe misuli kwa kivuli cha serikali
Nyie ndi mumekiuka baraza kuu uamuzi wake ndio final kwa mujibu wa katiba ya chama chenu pelekeni shauri huko likafanyiwe final decision.SI HAKI KULINYIMA BARAZA KUU NAFASI YAKE YA KUFANYA MAAMUZI

Mumeambiwa itisheni baraza kuu ukweli wote uanikwe hamtaki kwa nini? na Baraza kuu ndio kazi yake hiyo .Wapelekeeni

Wabunge wako tayari kuanika kila kitu ndani ya kikao cha baraza kuu hawataki kuongea barabarani nyie hamtaki kuitisha baraza kuu mnaogopa nini au mnaficha nini? baraza kuu ndio lenye sauti ya mwisho ya kutimua uanachama mtu mbona mnashikwa na kigugumizi kuitisha huo mkutano mkuu kulikoni?
 
Nyie ndi mumekiuka baraza kuu uamuzi wake ndio final kwa mujibu wa katiba ya chama chenu pelekeni shauri huko likafanyiwe final decision

Mumeambiwa itisheni baraza kuu ukweli wote uanikwe hamtaki kwa nini? na Baraza kuu ndio kazi yake hiyo .Wapelekeeni

Wabunge wako tayari kuanika kila kitu ndani ya kikao cha baraza kuu hawataki kuongea barabarani nyie hamtaki kuitisha baraza kuu mnaogopa nini au mnaficha nini? baraza kuu ndio lenye sauti ya mwisho ya kutimua uanachama mtu mbona mnashikwa na kigugumizi kuitisha huo mkutano mkuu kulikoni?
Ahh kumbe nabishana na Yehodaya, akili ulishaweka nyuma umebaki mihemko
 
Labda ni jinai waanzie polisi!
Wanaweza kuomba tafsiri ya sheria inayoruhusu hao wabunge ambao hawakuchaguliwa wala kupendekezwa kuwepo bungeni. Waonyesha vielelezo vyao na mifano ya wengine waliositishiwa ubunge pindi walipofukuzwa uanachama. Kazi ya mahakama kuu ni kutafsiri sheria.
 
Nani kapeleka Majina?
jath.gif
 
Jibu ni moja tu nani alipeleka barua ya uteuzi?
itisheni baraza kuu la chama chenu Chadema majibu mtakutana nayo huko ambako wamekata rufaa na wako tayari kuongea yote huko.Nendeni mkayaongee huko kwenye mkutano wa baraza kuu mnaoukwepa kuuitisha
 
Kumaliza Mgogoro wa Wabunge 19 Tume ina Nafasi Muhimu ya Kuumaliza.

1 Tume ya Uchaguzi iueleze Umma wa Watanzania Utaratibu ULIVYO Kisheria Wabunge wa Viti Maalumu Mchakato wa Kuwapata Ukoje ili tujue kama hao 19 waliufuata kisheria.

2.Tume ya Uchaguzi iijibu barua ya Chadema ambayo huu ni Mwezi wa 5 hawataki Kuujibu kwanini Wanasita kutoa Majibu?

3.Tume ya Uchaguzi Utufafanulie Watanzania ilikuwaje Yule Mwanachama wa Chadema alikuwa Mahabusu akatolewa Usiku na kwenda kuapishwa je Mchakato wake nae ulikuwaje
 
Kumaliza Mgogoro wa Wabunge 19 Tume ina Nafasi Muhimu ya Kuumaliza.
1 Tume ya Uchaguzi iueleze Umma wa Watanzania Utaratibu ULIVYO Kisheria Wabunge wa Viti Maalumu Mchakato wa Kuwapata Ukoje ili tujue kama hao 19 waliufuata kisheria...
Haiwezi, tume yenyewe ni CCM, haijijui wala haijui kama kuna Mungu, hao virusi-19 wachweMungu wa israel na Alla atawajibu watanzania, mtakumbuka huu uzi.
 
Ndugai ndio alishiriki kwa 100% kuharibu uchaguzi mkuu uliopita. Akishirikia na mwendazake na tume. Kifupi yeye ndio alikuwa master mind.

Tufunge na kusali kama ilivyokuwa kwa mwendazake. Mungu atajibu maombi.
 
Walitumiwa na mwendazake kipindi kile wanajipendekeza kwa kila kitu, wakati Mahera kapigwa picha na mwendazake kaweka mikono mbele kama kondoo anaenda kuchinjwa.

Ndugai alijua mipango yote michafu ndio maana akawa anawaambia wabunge wa Chadema bungeni nyie sidhani kama mtarudi hapa hata wawili.
 
Back
Top Bottom