Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
Mkuu huyu dogo anaweza kuwa ni "BO.G.US yaani anakaa nikaamua kuja KUHARISHA.....🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize mnyika alimwandika na yule aliekuwa magereza na kutuma watu wakamtoe usiku kinyume na taratibu ili akaapishwe,jamani Hutu kashikiwa akiliKwanini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
Mwambie mnyika aiweke kwa sababu anayo copy yake.Kwanini hiyo barua ya Mnyika aliyopeleka Tume haiwekwi hadharani?
Hilo lingeepusha Spika wa Bunge kukejeliwa kama ilivyo sasa na kupoteza heshima ya Bunge.
Tupunguze hadithi za kutunga
Kinachofikirisha.... Chadema kwa walivyojimbanua kuwa ni watetezi wa haki na utawala wa sheria kwanini mpaka sasa hawajibu rufaa ya kina Mzee Mdee, kwa nini wanaendelea kupokea ruzuku isiyo halali.. Ndugai aliwahoji ikiwa wanaamini wabunge hao si halali wanashindwa nini kuweka pingamizi mahakamani?🤔Hii kwenye taaluma yetu ya ujasusi tunaita fake news na disinformation,watu kama nyie ni spindoctors tu,mnajaribu kuweka mashaka kwa wananchi Ili waione Chadema haifahi.
Chadema inawatisha sana. Kwanini mambo ya ndani ya Chadema yanawakosesha sana usingizi ccm, nyie badala ya kujadiri kuhusu Nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi hakuna, wazee kuboreshewa maisha yao, big no, ila Mzee Mwinyi kuzawadiwa Benz!pesa ipo, 450Millioni zikatumika.
Kama mnyika ndio alipereka majina,wekeni fomu zao hapa, maana mnyika hakuweka sahihi yake.
Pili Barua aliyoandikiwa Spika kuhusu kufukuzwa hawa wabunge, imesainiwa na Mnyika, na ushahidi upo Bungeni,wekeni ushahidi kwamba Mnyika ndio alisaini fomu zao za kuteuliwa zilizoperekwa Kwenye tume, acheni kuweweseka kama kuku asiye na kichwa.
Tatu kusema Mbowe alitaka mkewe awe Mbunge, ni ujuha, nenda kasikilize Historia ya Mbowe, alianza siasa na biashara akiwa kijana mdogo sana, kazaliwa kwenye ukwasi, hawezi kuwa na njaa kama nyie mnaosubili kubusu makali o ya viongozi wenu Ili mpate uteuzi.