Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Hatuwezi kuruhusu viongozi wetu kuingia kwenye mtengo huwo wa kisiasa, kuanza kujibu mashambulizi yanayoelekezwa kwetu kwakuwa siyo utamaduni wetu.
CCM wameamua kumshambulia Mnyika kwakuwa wanajua ni mbunge makini ambaye yupo active .. Nikiwa kama katibu wake wa mkoa siwezi kuruhusu jambo hilo.
Mnyika ni mbunge wa hoja makini kwaajili ya kulisaidia taifa siyo Mbunge wa kuhubiri minara ya masanamu.......
Henry Kilewo
Katibu Dsm Chadema
CCM wameamua kumshambulia Mnyika kwakuwa wanajua ni mbunge makini ambaye yupo active .. Nikiwa kama katibu wake wa mkoa siwezi kuruhusu jambo hilo.
Mnyika ni mbunge wa hoja makini kwaajili ya kulisaidia taifa siyo Mbunge wa kuhubiri minara ya masanamu.......
Henry Kilewo
Katibu Dsm Chadema