BBJ
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 1,181
- 160
Mimi na wengine wengi tunawakubali Tambwe Hiza,Wasira,Nape,Riz1 etc tehe...teh....teheee.Mimi binafsi mbunge ninayemkubali na makini zaidi ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Mimi na wengine wengi tunawakubali Tambwe Hiza,Wasira,Nape,Riz1 etc tehe...teh....teheee.Mimi binafsi mbunge ninayemkubali na makini zaidi ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Hakuna kijana mwenye uwezo mkubwa katika medani za kisiasa katika vyama vyote vya siasa kama Mh John Mnyika. Palipo na ukweli lazima usemwe, palipo na ukweli pia uongo hujitenga. Huwa anajua nini anachokichanganua katika kuchangia miswada mbali mbali hasa bungeni, mwepesi wa kujenga hoja nzito. Mweledi wa kisiasa ambaye huanza kuchambua mada taratibu na umakini mkubwa.
Hana papara wala hakurupuki wakati wa kujibu hoja mbalimbali, mpole anayejiamini. Hutumia busara katika maamuzi na husimamia kile anachokiamini. Jasiri mwenye kuchunguza mambo kwa undani, hana jazba. Hufichua hoja za msingi zilizojificha kiasi mara kadhaa ameweza kuthubutu kusababisha baadhi ya miswaada ya serikali kufanyiwa marekebisho makubwa bungeni.
Pamoja na umri wake mdogo, anafaa kushika nyadhifa za ngazi za juu katika chama na nchi kwa ujumla. Ana sifa nyingi ambazo ukurasa hautatosha kuzibeba kwa wingi wake. Huyu ni JEMBE la uhakika ambalo ni tishio kubwa kwa CCM na Serikali yake na LULU pevu inayopaswa kutunzwa na kuhifadhiwa na chama chake.
hiyo title in ku-exclude wewe na ina demoralise wapambanaji wengine...
Mnyika is good , very good..kumweka number 1 kana kwamba tuna shindana kupambana na CCM umejidhalilisha sana...kibaya sana sababu unayoitoa eti anapanga hoja...na sio amefikisha maji kwa wananchi wake!! kuongea???....huku kisirisiri amefinya sh. laki mbili kibindoni na yuko kimya!!!
kupenda bwana!
wasifie wana siasa kwa uangalifu mkubwa mkuu........vijana wengi sana wako against CCM kuna wengine radical hata CDM hawawataki wala hawataki kuwapa nafasi...yaani wana hasira wamepitiliza! sema hauwajui!! wapo moyo na hao pia.........mwisho wa siku CCM ikitoka madarakani sifa ni kwa wote wala sio watu 17 kama JK! shame!
Hizi (red) sio sifa bali ni tatizo kubwa la kiuongozi na uzalendo kwa nchi, hatuhitaji kiongozi mnyenyekevu kwa system, hatumhitaji kiongozi ambaye hayupo tayari kupingana na viongozi wake na chama chake pale wanapokosea/kinapokosea, ukimpata kiongozi mwenye sifa hizo fahamu kuwa hana uwezo wa kufanya chochote cha maana kwa ajili ya nchi kwani pull-forces za kulinda maslahi ya viongozi wake na chama chake zitamzuia...
Kusaini kile ki toilet paper lilikuwa chaka la miba waliloingizwa viongozi wote wa CDM na msanii mkuu TZ bwana JK. We unadhani pale angefanyaje?
Hawezi kumzidi Livingstone Lusinde, Lusinde ni jembe la uhakika namuaminia sana, na ni yeye Lusinde ndio ataibuka kidedea kama Mbunge bora kijana 2011.
hiyo title in ku-exclude wewe na ina demoralise wapambanaji wengine...
Mnyika is good , very good..kumweka number 1 kana kwamba tuna shindana kupambana na CCM umejidhalilisha sana...kibaya sana sababu unayoitoa eti anapanga hoja...na sio amefikisha maji kwa wananchi wake!! kuongea???....huku kisirisiri amefinya sh. laki mbili kibindoni na yuko kimya!!!
kupenda bwana!
wasifie wana siasa kwa uangalifu mkubwa mkuu........vijana wengi sana wako against CCM kuna wengine radical hata CDM hawawataki wala hawataki kuwapa nafasi...yaani wana hasira wamepitiliza! sema hauwajui!! wapo moyo na hao pia.........mwisho wa siku CCM ikitoka madarakani sifa ni kwa wote wala sio watu 17 kama JK! shame!
Kijana ritz; pole sana! Hivi unajuwa kuwa kujifananisha na kichaa ina ghalama kubwa? Ni sawa na mwanafunzi aliyekwenda shule ili kuandika mtihani lakini akasahau akili zake nyumbani. Unapoteza haiba, imani kwa watu, unadharaulika na kuonekana kama mtu wa mizaha tangu asubuhi hadi jioni.Nadhani ni John Shibuda
magari mabovu yanavutana. Hakuna mwenye afadhali hapo.
Tuthibitishie alinunuliwa lini na kwa bei gani, kama ni kweli hija zake zenye uchambuzi wa kina zingepotelea mbali lakini kila siku anaibuka na hoja nzito, ila ninachojua ni kwamba ukishachoshwa na mtu hata afanye nini huoni na hivi ndivyo ilivyo, ila Zitto ni jembe la uhakika ndani ya cdmSidhani kama mtiririko wako umekaa fresh kwani tangia Zito anunuliwe na ccm sidhani kama anaubora wowote tena kwani mtu ukishatanguliza maslahi binafsi tena utakuwa huna jipya
Lakini bado miaka minne na jimbo lake ni kubwa pia. Bado mapema kuhukumu, apewe muda.