Njia ya kwenda MabwePande utadhani niko Ruanda, magari yetu yanaisha Sipiringi, wanafunzi wa shule nauli imekuwa kubwa wanatumia usafiri wa Noah Dala zimegoma kwenda njia hiyo. Tegeta Soko la Nyuki na kituo cha Daladala huwezi amini ni Maeneo ya DSM!! Tope na Uchafu wa kutisha. Makusanyo hapo Huduma hakuna! Hakika tulikuchagua Ukatusemee Bungeni siyo kusemea bajeti ya Kilimo. Kama huwezi mtume basi Diwani, mtaa Na Meya wakapaone. Halafu ile Barabara ya Tegeta_Bahati BEach ina umri wa miaka Miwili imeshakua Mashimo/madimbwi. Halima iga mfano wa Mbowe Hai. Wee Binti wa Dar Jimbo lako hoi!Nipo Bunju A maeneo ya usalama mbaka sasa sielewi mbunge wa Bunju ni nani ( Bunju ipo wilaya ya UBUNGO Halima yupo wilaya ya kinondoni kura wananchi wa Bunju tulimpigia Halima ina maana Bunju aina mbunge mbaka hivi sasa.
Chadema Mmewasusa wapiga kura wenu wa Salasala na Kinzudi Majengo kata ya Goba.
Hebu oneni shida wanazozipata wananchi walio pigia kura chadema
Njia ya kwenda MabwePande utadhani niko Ruanda, magari yetu yanaisha Sipiringi, wanafunzi wa shule nauli imekuwa kubwa wanatumia usafiri wa Noah Dala zimegoma kwenda njia hiyo. Tegeta Soko la Nyuki na kituo cha Daladala huwezi amini ni Maeneo ya DSM!! Tope na Uchafu wa kutisha. Makusanyo hapo Huduma hakuna! Hakika tulikuchagua Ukatusemee Bungeni siyo kusemea bajeti ya Kilimo. Kama huwezi mtume basi Diwani, mtaa Na Meya wakapaone. Halafu ile Barabara ya Tegeta_Bahati BEach ina umri wa miaka Miwili imeshakua Mashimo/madimbwi. Halima iga mfano wa Mbowe Hai. Wee Binti wa Dar Jimbo lako hoi!
Unataka akutembelee nyumbani kwako? Unamtolea macho Halima badala ya kuitolea macho serikali? Badala ya kushirikiana na mbunge kuishupalia serikali wewe unaanza kumtolea macho mbunge-hovyo kabisa na aina hii ya watu ndio inafanya serikali iwe likizo. Nadhani tunahitaji sana elimu ya uraia inaonekana wengi hatujitambui!Yani Mdee ndio kabisa sijui mara ya mwisho alitembelea lini jimboni kwake.....very useless.....maendelea zero
Acha porojo,nikuulize swali dogo tuu, mara ya mwisho ulimsikia lini halima akisimama bungeni kuongelea kuhusu kero na matatizo ya jimboni kwake?Unataka akutembelee nyumbani kwako? Unamtolea macho Halima badala ya kuitolea macho serikali? Badala ya kushirikiana na mbunge kuishupalia serikali wewe unaanza kumtolea macho mbunge-hovyo kabisa na aina hii ya watu ndio inafanya serikali iwe likizo. Nadhani tunahitaji sana elimu ya uraia inaonekana wengi hatujitambui!
Usiulize maswali ya kijinga, unajua kabisa mmezuia Bunge Live halafu unaniuliza mara ya mwisho nimemsikia lini Halima akiuliza au kuzungumzia kero za jimboni kwake. Nikusaidie ingia kwenye Hansard tumia muda wako vizuri utapata michango yake kuhusu kero mbalimbali kwenye jimbo lake. Na juzi tu kashusha nondo akishauri namna gani serikali inaweza kufanya ili kupunguza mfumko wa bei ya vyakula kwa wananchi wakiwemo wakazi wa jimbo lake. Kwamba ameleta maendeleo gani siri hiyo wanayo wana Kawe ambao wamekuwa wakimchagua kwa kura nyingi licha ya nguvu kubwa kutoka CCM na serikali kuhakikisha anashindwa!Acha porojo,nikuulize swali dogo tuu, mara ya mwisho ulimsikia lini halima akisimama bungeni kuongelea kuhusu kero na matatizo ya jimboni kwake?
Ni lini alienda jimboni kwake kuzungumza na wananchi wake kuhusu kero zinazowakabili?
Ni maendeleo gani mpaka leo yeye kama mbunge ameyaleta kawe?......
Wewe hujaona Ruangwa kwa waziri mkuu,Kongwa kwa spika wa bunge,Bumbuli kwa January,Mtama kwa Nape na Iramba kwa Mwigulu watu wanavyokunywa maji bwawa moja na ng'ombe na barabara hakuna? Awamu hii maendeleo mtayasikia Chato tu!Halmashauri ya Ubungo ipo chini ya CDM, meya mashavu aka meya Boniface Jacob kutwa kucha kazi kuongelea mambo ya udaku udaku tu, hakuna kazi yake anayofanya, hawa wajinga wamepandisha hadi kodi ya maegesho, yaani ni kama mchwa vile halafu watakuambia hawana pesa wao.
Halima na Mnyika wataendelea kuchaguliwa kuwa wabunge mpaka watakapochoka na kuamua kustaafu.Huko CCM sioni mtu wa kuwatoa.Acha porojo,nikuulize swali dogo tuu, mara ya mwisho ulimsikia lini halima akisimama bungeni kuongelea kuhusu kero na matatizo ya jimboni kwake?
Ni lini alienda jimboni kwake kuzungumza na wananchi wake kuhusu kero zinazowakabili?
Ni maendeleo gani mpaka leo yeye kama mbunge ameyaleta kawe?......
Endelea kujidanganya, na ule moto wote wa 2015, Mdee alipata kura 105000 dhidi ya 95000 za Kippi Warioba, hii ni sawa na 53% dhidi 47% za Kippi, kwa hali ya saivi ikiendelea Mdee 2020 anadondoka.Halima na Mnyika wataendelea kuchaguliwa kuwa wabunge mpaka watakapochoka na kuamua kustaafu.Huko CCM sioni mtu wa kuwatoa.
Huna akili mbunge pesa atapata wapi? Hiyo sio kazi yake ni kazi ya serikali, tumia akili
Mkuu hujaelewekaNdio mkome,sisi ubungo tulikoma nusu SAA hizi tishakoma kabisa
Ccm wamekaa jimboni humo zaidi ya miaka 15 na hakuna cha maana walichokifanya.I can see Chadema sinking in muddy water.