Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,218
Unajiropokea tu, punguza stresssijaropoka !
Hakuna picha ata moja ya chief Hanangi na mkuu ata mmoja wa G8 aliyepo madarakani..Kama ipo weka tuone,dunia imemkataa ni dikteta wa kike.
Unajiropokea tu, punguza stresssijaropoka !
Hakuna picha ata moja ya chief Hanangi na mkuu ata mmoja wa G8 aliyepo madarakani..Kama ipo weka tuone,dunia imemkataa ni dikteta wa kike.
Siasa siyo uadui bwashee!Sasa nami nauliza hivi: Umekuwa msemaji wa CHADEMA siku hizi?
Mkuu Erythocyte, huyu jamaa mmempa kazi huko Ufipa?
🚮Unajiropokea tu, punguza stress
Ni wapi nilipoandika "uadui"?Siasa siyo uadui bwashee!
Usipoteze muda na mateja mkuuNi wapi nilipoandika "uadui"?
Hata hivyo, akina Lissu wanapocharazwa 38 huku nyinyi mnashangilia, bado unaona hakuna uadui hapo?
Mbowe ananyimwa haki yake, huku mkikejeli, halafu unakuja hapa na kutapika "Siasa siyo uadui"?
Unayo akili timamu wewe?
Mbowe kanyimwa haki gani meku?Ni wapi nilipoandika "uadui"?
Hata hivyo, akina Lissu wanapocharazwa 38 huku nyinyi mnashangilia, bado unaona hakuna uadui hapo?
Mbowe ananyimwa haki yake, huku mkikejeli, halafu unakuja hapa na kutapika "Siasa siyo uadui"?
Unayo akili timamu wewe?
Umeshafura!Usipoteze muda na mateja mkuu
Msimu wa 'wazimu' wako umerudi, au umesahau kutumia dawa!Mbowe kanyimwa haki gani meku?
Chadema waache siasa koko katika utaratibu husika.....
Hivi Magerezani hakuna utaratibu wa kuwaona walioko rumande?!!!
Mbona hata UAMSHO walikuwa wanataka kujazana kuwaona wapendwa wao na baada ya kuelezwa utaratibu WALIELEWA?!!!
Hivi Mbowe alipokuwa amelazwa hospitali ,hawa CHADEMA zaidi ya 500 walikuwa wanajiingilia tu wodini?!!!
Hivi walikuwa wanajazana tu mule hospitali?!!!
CHADEMA ACHENI SIASA KOKO
alaaniwe ushhungi na uzao wake, afe kama JiweKatibu mkuu wa CHADEMA mh J J Mnyika amesema baada ya wananchi kuzuiwa kumuona mwenyekiti Freeman Mbowe gerezani leo alimtuma wakili wake akaonane naye.
Wakili amemuona mwenyekiti ni mzima na buheri wa afya Magereza watafute sababu nyingine za kueleza kwanini wameleta polisi kuzuia watu kumuona Mbowe.
Happy Saturday!
CCM ndiyo wenye siasa za kishenzi za kutegemea bunduki na mabomu ya polisi. CCM ni genge la kihalifu tu kama BokoharamChadema waache siasa koko katika utaratibu husika.....
Hivi Magerezani hakuna utaratibu wa kuwaona walioko rumande?!!!
Mbona hata UAMSHO walikuwa wanataka kujazana kuwaona wapendwa wao na baada ya kuelezwa utaratibu WALIELEWA?!!!
Hivi Mbowe alipokuwa amelazwa hospitali ,hawa CHADEMA zaidi ya 500 walikuwa wanajiingilia tu wodini?!!!
Hivi walikuwa wanajazana tu mule hospitali?!!!
CHADEMA ACHENI SIASA KOKO
CCM ni chama makini kinachoongoza taifa hili la kipekee....CCM ndiyo wenye siasa za kishenzi za kutegemea bunduki na mabomu ya polisi. CCM ni genge la kihalifu tu kama Bokoharam
Tatizo Anapendwa sana Mbowe. Sema uhalisia na mazingira hayaruhusu. Huu ni ukweli.Umeongea ukweli, siyo 200 tu, hata watu 10 ni wengi sana, magereza kuna kila aina ya majambazi, siyo Mbowe peke yake yupo mle, wanaweza kutake advantage ya hekaheka ya watu wengi mle ndani wakafanya yao!
Hata kwa usalama wake Mbowe tu siyo sahihi kwa kila mtu kwenda kumsalimia! Inatosha akitembelewa na ndugu zake, mawakili, viongozi wa chama chake na vyama vingine vya siasa, viongozi wa taasisi mbalimbali, na viongozi wa dini!! Lakini kwa sasa hata Mmawia naye anataka atoke Masasi kwake aje amuone Mbowe Segerea
Hahaa tumetoka mbali sanaMagaidi wako CCM na UVCCM kama ulivyokuwa unamkatikia Kheri James alipotangaza kuwa atamuwinda Mhe Jemadari Tundu Antipass Mughwai halafu atamchoma Sindano za Sumu.
Au umeshasahau?
Ni kweli na wewe unafanana na Mijizi wenzakoKuna mtu asiyekubalika na kupendwa na anaofanana nao?!!!
Binafsi simkubali....haiondoi ukweli kuwa wewe na wenzako mnamkubali
Kumbe haka ni Kademu??Aunt una roho mbaya
🤣🤣Nimekuibia nini ?Ni kweli na wewe unafanana na Mijizi wenzako