giningi
Member
- Jun 12, 2011
- 52
- 27
ilikuwa ni siku kama nne zilizopita nikiwa pale ubungo natoka katika mihangaiko ya kusaka mahela mara gesi ikaanza kumwagika kwa kasi kuelekea juu kutoka kwenye matanki makubwa ndipo watu tulipoanza kukimbia ovyo kujiokoa na hali hii ilichukua muda mrefu na ilitutia hofu sana.
Kwa upande wangu sijasome mambo ya umeme na sijui lolote lakini waungwana mnasemaje kuhusu haya matanki makubwa ya gesi hapa ubungo hivi kuna usalama kweli au wanasubiri tufe ndo wachukue hatua, naona kama ni kiwanda ambacho kilistahili kukaa mbali na mji.
Mbunge wetu mnyika nakuomba tusaidie tunaishi kwa hofu sana.
Kwa upande wangu sijasome mambo ya umeme na sijui lolote lakini waungwana mnasemaje kuhusu haya matanki makubwa ya gesi hapa ubungo hivi kuna usalama kweli au wanasubiri tufe ndo wachukue hatua, naona kama ni kiwanda ambacho kilistahili kukaa mbali na mji.
Mbunge wetu mnyika nakuomba tusaidie tunaishi kwa hofu sana.