Mkuu umenena. Watu wengine wanashabikia kitu hata hawakijui . A black boxayatoayo mtu ni yale yaliyoujaza moyo wake, ukiona mtu anaongelea mabwabwabwabwa ujue moyoni na kichwani mwake umejaa ubwabwa tu...wewe ni bwabwa mwenyewe, huna maana. ungekuwa mwanaume halisi ungeelewa nilichoandika. siwezi kubishana na mabwabwa. sisi tunaokaa huku ubungo ndio tunaoliona joto ya jiwe, na mbunge huyu hatusaidii chochote, wala sijawahi kuona ameongelea matatizo yetu bungeni, zaidi ya kuongelea matatizo ya cdm in general kitaifa etc. ndo maana nimemshauri awaige wenzie kina tundu lisu, pamoja na kwamba ni wapambanani, wanajali kwao kwa wale waliompa kura. haiji akilini kuona mabomba yapo hadi majumbani mwetu lakini hayatoi maji...unataka matatizo yetu tumwambie nani ili atuwakilishie kwenye selikali kuu yatatulike? si kila mwanachadema anafanya kazi, wengine wapo hapo na wavivu na hawana faida kwenye chama wala kwa wananchi, zaidi ya kufurahia marupurupu, hata yale ya maendeleo ya jimbo basi tuyaone kwenye jimbo letu. kama hujaelewa hadi hapo, rudi shule kaanze chekechea.