Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 60
Yawezekana mnajua mlichofanya juu ya kifo cha Mwangos ndio mana presha inawapanda. Mnyika leo rais uliemsema dhaifu ndio unapendekeza aunde tume, msiwe kama nyani tazameni nyuma
Nlifikirigi una hakili timamu kumbe!Yawezekana mnajua mlichofanya juu ya kifo cha mwangos ndio mana presha inawapanda.mnyika leo rais uliemsema dhaif ndio unapendekeza aunde tume,msiwe kama nyan tazamen nyuma
Yawezekana mnajua mlichofanya juu ya kifo cha mwangos ndio mana presha inawapanda.mnyika leo rais uliemsema dhaif ndio unapendekeza aunde tume,msiwe kama nyan tazamen nyuma
Well said Mkuu,Dah CCM bana kila siku ni Afadhali ya Jana
Yawezekana mnajua mlichofanya juu ya kifo cha mwangos ndio mana presha inawapanda.mnyika leo rais uliemsema dhaif ndio unapendekeza aunde tume,msiwe kama nyan tazamen nyuma
Yawezekana mnajua mlichofanya juu ya kifo cha mwangos ndio mana presha inawapanda.mnyika leo rais uliemsema dhaif ndio unapendekeza aunde tume,msiwe kama nyan tazamen nyuma
Well said Mkuu,
Lahaula; kumbe sikuwa nikifahamu kuwa mwana CCM ni lazima uwe dakika tatu nyuma! Mzee umerudi lini toka matibabu kule Mirembe? Mbona wamekuruhusu ukiwa bado hujapata nafuu sana? Ona sasa unapayuka, dunia inakushangaa!!!
Kikwete mwenyewe anaujua udhaifu wake, na hajapinga hadharani kwamba ni kinyume cha hivyo, sasa wewe ni nani kumsemea?