bado kura zinahesabiwa
Tena hapo huenda kapata jibu maana pale pembeni ya Sita namuona Mwakyembe, huenda wakapangua hoja ya Tundu!!!!!Mh ssita nae yuko na werema kwa wanavyoonekana wanajadili hoja ya lissu
Hivi hawa wabunge wa Sisiem wao hawaoni mapungufu ambayo wenzao wa upinzani wanayaona, maana hawakosoi hata kidogo ingawa kuna makosa ya waziwazi.
Mh ssita nae yuko na werema kwa wanavyoonekana wanajadili hoja ya lissu
Mwaka huu kazi ipo! Mkuu nakuwekea kanuni za kudumu za Bunge
Asante mkuu kwa hiyo link ya tv africa. Nimeweza kuinstal,ila nimejaribu inadai password na hiyo paypal sina kwa sasakama uko nje unaweza download player kutoka tv africa utapata itv live na eatv.
Ila itabidi uwachangie paundi5.5 kwa mwezi mambo yatakuwa mswano.
kama hauna paypal unaweza kudownload na kuinstall ntakusaidia login password yangu kwa muda,ila baada ya siku chache ita-expire.
Endelea!
Hivi hawa wabunge wa Sisiem wao hawaoni mapungufu ambayo wenzao wa upinzani wanayaona, maana hawakosoi hata kidogo ingawa kuna makosa ya waziwazi.