Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Jamani
pamoja na uhuni wa spika ila upinzani umenishtua sana sana..sakata la posho kila mtu amejua
bado awajaanza kupewa kumbe wameshatumia na mbaya zaidi zingine ziko chooni
loh aikaeli/lema /mnyika jamani mnasaini kabisa lakimbili alafu watanzania mtaani mnakuja
kuwatembeza wafe wapigwe mabomu loh
miaka 50 ya utapeli
pamoja na uhuni wa spika ila upinzani umenishtua sana sana..sakata la posho kila mtu amejua
bado awajaanza kupewa kumbe wameshatumia na mbaya zaidi zingine ziko chooni
loh aikaeli/lema /mnyika jamani mnasaini kabisa lakimbili alafu watanzania mtaani mnakuja
kuwatembeza wafe wapigwe mabomu loh
miaka 50 ya utapeli