Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Kikwete ndio msimamizi mkuu wa hiyo unayoita executive, ndio mwenye kuteua Na kuwavua madaraka Na kusimamia utendaji wao, Kama wameshindwa ni JK kashindwa. JK atabaki kuwa dhaifu as individual Na executive pia. Bunge likishindwa kusimamia Serikali, litabaki kuwa dhaifu kwa ujumla wake, hata Kama wapo wazuri humo.