Mnyika: Kuna njama zinasukwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa kuifuta CHADEMA

Sio siri CCM wameivuruga CUF na kumuua Seif Sharif ila Maalim hakukubali kufariki baada ya siku tatu akafufukia ACT (Jesus of Zanzibar).

Sasa baada ya kushindwa na Maalim Seif (Marehemu) CCM wamekusudia kuiuwa Chadema na kuivunja nguvu wakiamini ,uwanja wa siasa utakuwa mwepesi.

Suali Je CCM wataweza ? Nikiiangali CHADEMA ,Mbowe ni mwepesi sana ndani ya siasa za CHADEMA kuna vigogo vya siasa na vinatisha vibaya sana na sijawahi kuwaona watu hawa wa Chadema kucheka cheka hovyo ,wapo kikatili zaidi kwa maana wapo tayari kwa mapambano ya kisiasa .
Usitoe siri nje , waache wamuue Mbowe kama walivyopanga ili wajiridhishe kwamba wameua Chadema
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye ofisi za Chadema Kinondoni, nje ya Jiji la Dar es Salaam, Katibu Mkuu huyo wa Chadema amesema yapo maandalizi ya kuifuta Chadema ili kuwaridhisha watu fulani ndani ya serikali.

Kinachosubiriwa ni timing tu, kwa maana ya wakati muafaka wa kufanya hivyo ili kupata kisingizio.

Hivyo Mh Mnyika amewaasa viongozi na wanachama wa Chadema kuwa waangalifu katika kipindi hiki ili kukwepa mtego uliowekwa na ofisi ya Msajili ikishirikiana na idara zingine.

Mungu ibariki Chadema
Chadema imeshajifuta wamebaki domokaya wanaotumiwa na mabeberu. Chama kina mbunge mmoja tu kinataka ku set agenda hazina tija kwa taifa. Hatuwezi kukubali.
 
Akizungumza na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye ofisi za Chadema Kinondoni, nje ya Jiji la Dar es Salaam, Katibu Mkuu huyo wa Chadema amesema yapo maandalizi ya kuifuta Chadema ili kuwaridhisha watu fulani ndani ya serikali.

Kinachosubiriwa ni timing tu, kwa maana ya wakati muafaka wa kufanya hivyo ili kupata kisingizio.

Hivyo Mh Mnyika amewaasa viongozi na wanachama wa Chadema kuwa waangalifu katika kipindi hiki ili kukwepa mtego uliowekwa na ofisi ya Msajili ikishirikiana na idara zingine.

Mungu ibariki Chadema
Tatizo katika chama changu CCM kwa sasa wamebaki zero brain wote. No more great thinkers that we used to see and hear.

Viongozi wa CCM karibia wote wanachofikiria ni maslahi yao na familia zao tu. Ndiyo maana their first line of defense ni jeshi (polisi), siyo hoja tena kwani wamekuwa mufilisi vichwani mwao.

Imagine sasa wanataka kuiua Chadema.... wanataka wanachama wakaanzishe Umkonto we Sizwe, au? Wanadhani hili likitokea wao watabaki salama? Haiwaingii vichwani mwao (sorry, kumbe ni zero brain).... I mean wameshindwaje hata kupata hofu kwamba Watanzania walionyang'anywa platform ya ku practice their democratic rights wakianzisha armed movement inaweza kupata backing kutoka mataifa ya magharibi halafu tukaishia kuwa na civil war?

Kinachowashinda kukaa meza moja na wapinzani kujadili mustakabali wa nchi yetu ni nini hasa?

CCM inaangamiza nchi kwa kukosa maarifa.
 
hivi kwa haya yanayoendelea unadhani nchi hii inatawalika ? hushangai mamaako kawa kiguu na njia ! unajua ni kwanini ?
Mkuu kuna nini kinaendelea??!au hizi tetesi kuwa mama anafata maelekezo tu hatawali kama mwanzo ni kweli??!!kwamba wajeda wanaendesha nchi chini ya Mabeyo!!!!!
 
Tatizo katika chama changu CCM kwa sasa wamebaki zero brain wote. No more great thinkers that we used to see and hear.

Viongozi wa CCM karibia wote wanachofikiria ni maslahi yao na familia zao tu. Ndiyo maana their first line of defense ni jeshi (polisi), siyo hoja tena kwani wamekuwa mufilisi vichwani mwao.

Imagine sasa wanataka kuiua Chadema.... wanataka wanachama wakaanzishe Umkonto we Sizwe, au? Wanadhani hili likitokea wao watabaki salama? Haiwaingii vichwani mwao (sorry, kumbe ni zero brain).... I mean wameshindwaje hata kupata hofu kwamba Watanzania walionyang'anywa platform ya ku practice their democratic rights wakianzisha armed movement inaweza kupata backing kutoka mataifa ya magharibi halafu tukaishia kuwa na civil war?

Kinachowashinda kukaa meza moja na wapinzani kujadili mustakabali wa nchi yetu ni nini hasa?

CCM inaangamiza nchi kwa kukosa maarifa.
Tatizo siyo chama, ni polisi kujipendekeza kuingilia mambo ambayo yangejibiwa kwa hoja za kisiasa na maisha yosonge mbele.
Viongozi wa chama wajiandae kupambana kwa hoja badala ya kutegemea polisi, majeshi na hata watumishi wengine wa uma wanaojipendekeza.
 
Wameshajua kwamba kuchomoka hapa tulipo kwenye huu mkwamo wa kisiasa bila katiba mpya ni ngumu sasa kwa akili yao wanadhani njia rahisi ni kuifuta Chadema na hapo ndio wanajichimbia kaburi kabisa

Ingekuwa rahisi hivyo Mwendazake na ubabe wake wote alishindwa nini?Huyu mama asipotumia akili zake mwenyewe hafiki mbali,Na kama ni akili zake basi ajiandae sababu anaenda kushindwa vibaya.
Na ashindwe

Na wote tuseme amen
 
Tatizo siyo chama, ni polisi kujipendekeza kuingilia mambo ambayo yangejibiwa kwa hoja za kisiasa na maisha yosonge mbele.
Viongozi wa chama wajiandae kupambana kwa hoja badala ya kutegemea polisi, majeshi na hata watumishi wengine wa uma wanaojipendekeza.
Hakuna chama pale. Ni zero brain wote. Think-tank wa chama sasa hivi ni IGP Sirro.
 
Hakuna chama pale. Ni zero brain wote. Think-tank wa chama sasa hivi ni IGP Sirro.
Watanzania lazima tuangalie mustakabali mwema wa taifa.
Hizi siasa za matumizi ya nguvu za moja kwa moja hazikuwa utamaduni wetu, hata uhuru ulipatikana bila kumwaga damu. Tunatakiwa kwenda mbele kwa siasa za kistaarabu, wanasiasa na watumishi wa uma wenye uchu na ubinafsi(laweza kuwa kundi dogo) hawatakiwi kupewa nafasi au kuungwa mkono.
 
Tatizo siyo chama, ni polisi kujipendekeza kuingilia mambo ambayo yangejibiwa kwa hoja za kisiasa na maisha yosonge mbele.
Viongozi wa chama wajiandae kupambana kwa hoja badala ya kutegemea polisi, majeshi na hata watumishi wengine wa uma wanaojipendekeza.
Aibu kubwa sana !
 
mm
Akizungumza na Waandishi wa Habari wa ndani na nje ya nchi kwenye ofisi za Chadema Kinondoni, nje ya Jiji la Dar es Salaam, Katibu Mkuu huyo wa Chadema amesema yapo maandalizi ya kuifuta Chadema ili kuwaridhisha watu fulani ndani ya serikali.

Kinachosubiriwa ni timing tu, kwa maana ya wakati muafaka wa kufanya hivyo ili kupata kisingizio.

Hivyo Mh Mnyika amewaasa viongozi na wanachama wa Chadema kuwa waangalifu katika kipindi hiki ili kukwepa mtego uliowekwa na ofisi ya Msajili ikishirikiana na idara zingine.

Mungu ibariki Chadema
ekwisha sasa mnafutwa mudasi mrefu mkalilie chooni
 
Bure kabisa wewe,mlisema wakimtia nguvuni mwenyekiti wa chama Cha magaidi hakutakalika nchi hii,Leo Ni wiki ya pili Yuko rumande anakula na kulala kwa kupangiwa.

Chadema ukifika Wakati wa kuifuta itafutwa na kusiwepo mtu wa kulalama.
Mkuu huwa pia wanawawekea pension? Au ni cash cash basi
 
Back
Top Bottom