Sio siri CCM wameivuruga CUF na kumuua Seif Sharif ila Maalim hakukubali kufariki baada ya siku tatu akafufukia ACT (Jesus of Zanzibar).
Sasa baada ya kushindwa na Maalim Seif (Marehemu) CCM wamekusudia kuiuwa Chadema na kuivunja nguvu wakiamini ,uwanja wa siasa utakuwa mwepesi.
Suali Je CCM wataweza ? Nikiiangali CHADEMA ,Mbowe ni mwepesi sana ndani ya siasa za CHADEMA kuna vigogo vya siasa na vinatisha vibaya sana na sijawahi kuwaona watu hawa wa Chadema kucheka cheka hovyo ,wapo kikatili zaidi kwa maana wapo tayari kwa mapambano ya kisiasa .
Sasa baada ya kushindwa na Maalim Seif (Marehemu) CCM wamekusudia kuiuwa Chadema na kuivunja nguvu wakiamini ,uwanja wa siasa utakuwa mwepesi.
Suali Je CCM wataweza ? Nikiiangali CHADEMA ,Mbowe ni mwepesi sana ndani ya siasa za CHADEMA kuna vigogo vya siasa na vinatisha vibaya sana na sijawahi kuwaona watu hawa wa Chadema kucheka cheka hovyo ,wapo kikatili zaidi kwa maana wapo tayari kwa mapambano ya kisiasa .