Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Ukisikiliza video iliyopo kwenye mtandao: John Mnyika | Facebook kuna sauti ya Mnyika akichochea askari polisi kugoma kosa ambalo lilimfanya mwandishi wa makala Mwigamba na mhariri Kibanda kukamatwa na kushtakiwa kwa uhaini na uchochezi. Kama polisi mnaacha kumkata kwa kuwa ni mbunge mumkamate mara baada ya hukumu itakayotengua ubunge wake na kuwa raia wa kawaida tarehe 24 Mei 2012.
...ndiyohiyo
...ndiyohiyo