Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
- Thread starter
- #21
Kila kitu chenye mwanzo hakikosi mwisho, CCM ilipotoka ni mbali inapoelekea ni karibu, sioni sababu za kushindwa na ccm kwenye uchaguzi huu wa udiwani, wala sijawahi kufikiria kuwa ccm na mbinu zao za miaka hamsini wataweza kusimama na kushinda. Tumejipanga tunajiamini na tunaweza.