notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 452
huyu dogo mimi nilijua nalamba dume kwa kumpa kura yangu ili awe mbunge wangu,,,,,,,atawashangaza wengi ambao walikuwa hawamfahamu kabla... kwa ujumla ni kiongozi kwa vigezo vyote na taratiiiiiiiiiiiiibu anajijengea himaya ya kutawala jimbo la ubungo milele. Nawashauri tume ya uchaguzi kuligawanya jimbo la ubungo kama wanataka mgombea wa CCM katika jimbo hilo