Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Tatizo lenu mnategemea vitu vikubwa sana, tena kwa muda mfupi sana kana kwamba alieingia kwenye Uongozi ni Mungu,
Uchaguzi umefanyika October 2010 na mpaka mtu atulie kwenye kiti aanze kazi ni labda ni Dec au January '11,
Msipende kunung'unika nung'unika kila mara!!!
Uchaguzi umefanyika October 2010 na mpaka mtu atulie kwenye kiti aanze kazi ni labda ni Dec au January '11,
Msipende kunung'unika nung'unika kila mara!!!