Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,581
Kwl mtoa mada ni Fisi kama jina lako..ni fisi maji ama??
Kazi Ya Mbunge ni Kusimamia Utendaji!! Ila Tulikopeleka Kodi Zetu Ndio Hawataki Kuzirudisha ili Mbunge Aweze Kuzisimamia!! Najua ni Wachache Watanielewa!!
Najua wenye ugonjwa wa vyama mtanuna.
Nikiwa mwana Ubungo nakuagiza mh mbunge wangu uanze kutimiza ahadi ulizotupatia. Sioni au kufahamu hata effort. Mpaka sasa hujafanya chochote zaidi ya maneno,mikutano isiyo na matunda na kuwa blogger. Hatujakutuma hicho wala malumbano. Barabara hatuna,maji kulekule,ulinzi mh haya sioni kipya cha zaidi ya mbunge aliyepita.
Nakuagiza anza kazi ili nisijutie kura yangu, mambo ya kuuza sura hayaendani na wewe. Nilikupigia kampeni ya hali na mali sitaki kujutia efforts zangu. Bado miaka 2 sababu after 2014 utakuwa busy kujipanga kurudi mjengoni. Nataka niwe na sababu tena ya kukukampenia vinginevyo umpishe NAPE mi sing'ang'anii Chama.
Wananchi tuache unafiki na siasa Tuwasukume wabunge watufanyie kazi sio kutafuta umaarufu ambao hautsaidii. tutake vitu tangible. Nchi hii ni yetu wote.
Una hakika km anafanya hicho kilichowekwa redish hapo kwenye sentenso yako?
Msimjibie kwa ushabiki naomba mnipe kipi cha maendeleo alichofanya so far. Mimi sio CCM kama mnavyodhani penye ukweli tuseme Mnyika fanya kazi. BADO
Mnyika naomba ushuke humu jf unishawishi kwa ulichofanya hata kama ni mipango. Usikalie tu kucheza na jukwaa tunataka magoli.
Unaposema hajafanya kitu kwa huo mwaka mmoja na kiduchu unakua unalinganisha na nini/nani???
Lamwai na Keenja walikaa hapo miaka mingapi na wakafanyaje mpaka uje useme mnyika hajafanya kitu??
Tatizo gani specific unaloliona halijatekelezwa kwa muda mliokubaliana mpaka unakuja kulalamika huku Jamvini???
Kama ulimpigia kampeni kwa kiwango ulichotaja (kama kweli) utakuja unamjua kiasi, umechukua hatua gani kumuona yeye binafsi kwanza kabla ya kuja kujianika hapa???
Hayo uliyosema hajafanya unayajua, je hakuna ambayo kayafanya na unayajua pia???
Kua na shukrani ndugu, kama unaona hafai next time gombea wewe basi!!
Subiri kidogo atarudi, ametumwa na Josephine kununua nyanya! Akirudi ataanza kushughulikia shida zenu wana Ubungo!Sina ugomvi na Mnyika namfahamu kuliko yeyote humu na nimemfundisha mwenyewe darasani kwa miaka 4 akiwa katika ule umri wa kuaminika wa binadamu. Nasema kama ilivyokuwa kwa Deodorous Kamala na wengine walimezwa sana na ishu za kitaifa na ushabiki wakasahau majimbo yao. Hiki ndicho nakiona kwa Mnyika. Nampigia simu mwanafunzi wangu kuchangia mipango hapokei wala sms hajibu. Naona kwenye blogu na twitter. Tuache chuki za kishabiki na kushabikia makaratasi.Nimefanya tathmini ya mwaka mmoja COMPARATIVELY hakuna kitu kulinganisha na expectations za wanaubungo. Maeneo mnayosema Msewe hakuna kitu tusidanganyane. NARUDIA MNYIKA RUDI JIMBONI TUKUONYESHE TUNAYOTAKA WANA UBUNGO. Nakaa ubungo nyuma ya NBC Karibuni.
Nahisi atakua fisi madoa doa...tehe teheKwl mtoa mada ni Fisi kama jina lako..ni fisi maji ama??
Subiri kidogo atarudi, ametumwa na Josephine kununua nyanya! Akirudi ataanza kushughulikia shida zenu wana Ubungo!
Sina ugomvi na Mnyika namfahamu kuliko yeyote humu na nimemfundisha mwenyewe darasani kwa miaka 4 akiwa katika ule umri wa kuaminika wa binadamu. Nasema kama ilivyokuwa kwa Deodorous Kamala na wengine walimezwa sana na ishu za kitaifa na ushabiki wakasahau majimbo yao. Hiki ndicho nakiona kwa Mnyika. Nampigia simu mwanafunzi wangu kuchangia mipango hapokei wala sms hajibu. Naona kwenye blogu na twitter. Tuache chuki za kishabiki na kushabikia makaratasi.Nimefanya tathmini ya mwaka mmoja COMPARATIVELY hakuna kitu kulinganisha na expectations za wanaubungo. Maeneo mnayosema Msewe hakuna kitu tusidanganyane. NARUDIA MNYIKA RUDI JIMBONI TUKUONYESHE TUNAYOTAKA WANA UBUNGO. Nakaa ubungo nyuma ya NBC Karibuni.