Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Mkuu ndo hamna kitu hapo tayari.Sasa mkuu nini tatizo hapa au Mnyika hazijui sheria za bunge?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu ndo hamna kitu hapo tayari.Sasa mkuu nini tatizo hapa au Mnyika hazijui sheria za bunge?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakika bwashee!
Heti wananchi tutahakikisha utakuwa uchaguzi wenye wapiga kura wachache? Hivi unadhani watanzania wote zaidi mil 55 watakuelewa hiki unachokisema hapa.??Mnyika anaweza kuwa na msimamo huo yeye kama kiongozi wa chama, ila tatizo liko kwetu sisi wapiga kura, bila tume huru ya uchaguzi hatutashiriki huo uhuni uitwao uchaguzi. Tutahakikisha unakuwa uchaguzi wenye wapiga kura wachache kupata kutokea hapa nchini. Uzuri ni kuwa somo limeshaeleweka hivyo tunasubiri hatua ya utekelezaji tu. Hapo ndio vyama vyote vya siasa vitagundua nguvu ya umma ni nini. Na uzuri wa nguvu yetu ya umma kwa sasa itakuwa sio ya machafuko. Nina hakika tutakuwa na serikali iliyo madarakani kisheria, lakini isiyo na uhalali wa umma.
Mmawia atakosa posho wakisusia uchaguzi!Cc.tindo,Mmawia
Mbowe anagombea Moshi mjini......Hai anakwenda Lema......Arusha ni Ole sosopi!
Ni kweli kabisa aendelee kutesa kwenye vilabu vya ulanzi!Mmawia atakosa posho wakisusia uchaguzi!