Mnyika, Balille, Rostam Aziz na kisa cha sms!

Paparazi Muwazi

JF-Expert Member
Dec 23, 2007
310
79
Dogo Mnyika uso kwa uso na Balille+Rostam Aziz

Katika hali inayoashiria kwamba sasa mambo yaliyonyuma ya pazia yanaanza kujitokeza hadharani. Dogo Mnyika ameanza kugongana vichwa na Ballile+Rostam Aziz. Katika kikao cha Jukwaa la Wahariri za jana, baada ya Sakina Datoo kueleza wazi wazi jinsi habari za magazeti matano zilivyofanana na Zitto kueleza jinsi gani habari hizo zilivyokuwa si za kweli. Mhariri wa gazeti la RAI hakuweza kukanusha hali hiyo badala yake alipopata muda kueleza hali hiyo, akasema kwamba wa kulaumiwa kutokana na kuliingiza taifa katika hali hiyo ni John Mnyika ambaye kauli zake ndizo zilizoliingiza taifa kwenye matatizo.


Bwana Ballile alitumia muda wote kumshambulia Bwana Mnyika. Ndipo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Sakina Datoo, alipompa nafasi Bwana Mnyika naye kuweza kufafanua hali hiyo. Katika majibu yake kwa Ballile, Bwana Mnyika alitangaza wazi kuwa gazeti la RAI ndilo lililopotosha na kuudanganya umma, na kuliingiza taifa kwenye hisia tofauti kuhusu Kifo cha Chacha Wangwe. Bwana Mnyika akarejea taarifa za gazeti la RAI la alhamisi ya 31 Julai, 2008 lililokuwa na Kichwa cha Habari “Wangwe kauwawa” kuwa ndilo lilochochea hisia miongoni mwa wananchi kuhusu mauji na hatimaye yakatokea yaliyotokea Tarime siku hiyo na baadaye magezeti ya Ijumaa 1 Agosti, 2008 nayo yakabeba habari zisizo za kweli kuhusu Mbowe kukaribia kukatwa na mapanga na kuhusisha kifo hicho na Risasi. Bwana Mnyika alieleza wazi kwamba habari hiyo ukusara wa Mbele ambayo ilikuwa na by line inayosema “Wataka Polisi iwabane Mnyika na Mallya”, ililenga kujenga hisia za wasomaji kumhusisha yeye na kifo cha Wangwe.


Bwana Mnyika alielezea kwamba siku ya pili baada ya habari hiyo kutoka waandishi wa habari walifika kutaka msimamo wake kuhusu habari hiyo lakini alikataa kusema chochote kwa kuwa hiki ni kipindi cha maombolezo badala ya malumbano. “Leo naomba niwaambie wahariri, kwamba naendelea kutafakari kuhusu habari hiyo, na pindi kipindi cha maombolezo kitakapokwisha, nitawaita waandishi kueleza hatua nitakazochukua kuhusiana na gazeti hilo’, alisema Bwana Mnyika. Akiichambua habari hiyo, Bwana Mnyika amesema pamoja na kichwa cha habari kutaka polisi wamhoji, ndani ya habari yenyewe hakuna mahali popote ambapo chanzo chochote kimesema ahojiwe na polisi.

Akichambua aya ya kwanza na ya pili ya habari, ambayo inaeleza kwamba msimamo wa “wazawa wa Tarime” kuwa “chacha ameuwawa’ umechochewa na kauli yake, Bwana Mnyika akamhoji Balille mbona habari yenyewe haitaji kauli ya Bwana Mnyika inayolalamikiwa na ‘wazawa’ hao wala katika habari yenyewe hailezwi popote wazawa hao kuhusisha kauli zao na msimamo wa Bwana Mnyika. Akichambua aya za mwishoni mwa Habari hiyo, ambayo inataja kwamba msimamo wa Dr Slaa ulikuwa ni kutaka uchunguzi ufanyike wakati Bwana Mnyika alitoa taarifa kwamba vyombo vya habari kuwa kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA.

Chini ya maneno ya habari hiyo, gazeti la RAI likaweka maswali yafuatayo: Kwanini Mnyika akimbie kutoa kauli hii? Je, Mnyika ni polisi kutangaza mazingira ya kifo cha Wangwe?Je, Mnyika alikuwepo eneo la tukio?, Je, Ni kinga ipi anayotaka kuweka Mnyika? Kutokana na Habari hiyo kuwa na maswali hayo, Bwana Mnyika aliweka bayana kwa Ballile kwamba maswali hayo yaliongezwa na RAI ili kujenga hisia kwa msomoji kwamba yeye anahusika na kifo cha Wangwe. Akichambua mapungufu ya hoja hiyo. Alisema, anasikitika kwamba katika kipindi chote cha msiba mpaka Ballile anaibua hoja hiyo katika Jukwaa la Wahariri, gazeti la RAI halijawahi kufanya mahojiano yoyote na yeye wakati wowote.

Mnyika akaendelea kuelezea kwamba wao kama CHADEMA wanafanya kazi kama timu, na pindi habari za msiba walipozipata usiku walipeana taarifa kamili. Na hata asubuhi waliendelea kupeana taarifa mbalimbali ili kutoa misimamo bila kukinzana. Akasema kwamba siku hiyo ya Jumanne 29 Julai 2008, waandishi wa habari walimfuata ofisini kuuliza jinsi CHADEMA ilivyopokea msiba huo mzito. Alieleza bayana kwamba waandishi wengi walifika baada ya kikao cha sekretariati ya chama hicho ambayo yeye kama kaimu katibu mkuu, alikuwa Mwenyekiti wa Kikao. Anasema akawaeleza waandishi hao jinsi ambayo wamekipokea kifo hicho kwa mshtuko na masikitiko makubwa na kwamba wataendelea kumkumbuka Chacha kama kiongozi jasiri aliyesimamia yale aliyoyaamini.

Anasema mara baada ya kuhitimisha kutoa kauli hiyo ya chama ya jinsi ambavyo chama kimepokea msiba huo, waandishi wa Mwandishi wa Habari wa Mtanzania, na wa TBC1 waliuliza maswali, wakati yule wa Mtanzania akiuliza swali kwamba habari za mitaani zinasema kwamba CHADEMA ndio imemuua Chacha nini kauli ya chama kuhusu suala hilo? Yule wa TBC1 aliuliza kama kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA? Bwana Mnyika alisema kwamba CHADEMA haihusiki na kifo hicho wala hakihusiani na mgogoro ndani ya chama hicho, na kwamba taarifa za awali walizozipokea toka kwa Kamanda wa Polisi ni kwamba kifo hicho kimetokana na ajali.

Bwana Mnyika alisema kwamba alilisitiza kuwa watu wasianze kuitizama CHADEMA badala yake vyombo vya usalama ndio vinawajibu wa kutoa taarifa kamili. Katika jukwaa la Wahariri, Bwana Mnyika aliweka bayana kwamba huu ndio uliokuwa msimamo wa pamoja, na ni msimamo huo huo ulitolewa na viongozi wengine wa CHADEMA siku hiyo akiwemo Dr Slaa, na hata viongozi wa kiserikali akiwemo Spika wa Bunge na Rais wa nchi katika salamu zao. Bwana Mnyika akamhoji Balille kwamba ni vipi kati ya watu wote walionukuu taarifa ya polisi kuwa kifo hicho kimetokana na ajali hawakuandikwa na RAI kwamba wamekurupuka kujikinga na kutaka wahojiwe na polisi kama alivyoandikwa yeye na gazeti hilo? Bwana Mnyika akaendelea kusema kwamba kinachoshangaza zaidi ni kuwa Jumatano ya tarehe 30 Julai, 2008 yeye mwenyewe alimwandikia Barua IGP kutaka uchunguzi wa utata wa mazingira ya ajali uliotokana na kauli tofauti tofauti ambazo zilitolewa na Deus Mallya ukilinganisha na watoto wa marehemu kuhusiana na ajali hiyo.

Wakati vyombo mbalimbali vya habari viliinukuu barua hiyo, ikiwemo gazeti dada la Mtanzania, Gazeti la RAI halikutumia kabisa habari hiyo. Bwana Mnyika akahitimisha kwa kumwambia Balille hadharani kwamba kwa mwelekeo wa Habari hiyo umeonyesha wazi kwamba aliyekuwa analengwa kuchafuliwa ni Mnyika na kwamba habari hiyo imekiuka misingi ya maadili ya uandishi wa habari na hivyo akaeleza wazi wazi kwamba anatarajia kuchukua hatua juu ya gazeti hilo. “ Hapa si mahali pake kuzungumzia hilo, bado tuko kwenye maombolezo, na hapa tulikuja kukutana na Jukwaa la Wahaririri. Pindi wakati ukifika nitawaita waandishi wa habari na kuwaeleza hatua nitazochukua”, alisema Mnyika.

Wakati huo huo, mmiliki wa Kampuni ya Habari Corporation yenye gazeti la RAI, Bwana Rostam Aziz amelalamika kwa baadhi ya wabunge, baadhi ya viongozi wa vyama vyama vya siasa na na baadhi ya wahariri kwamba Mnyika amemtukana kupitia simu yake ya mkononi. Hata hivyo alipotakiwa kueleza ametukanwa matusi gani, bwana Rostam hakuwa tayari kueleza. Kwa upande wake Bwana Mnyika alipoulizwa amekana kumtukana Bwana Rostam na kutaka aulizwe na atoe ushahidi ametukanwa nini. “Mimi nimemwambia kuwa nimesibitisha kuwe yeye ni fisadi. Sasa kama anasema mimi kumuita fisadi ni matusi basi aende mahakamani”.

Na nimemwambia wazi wazi , sikutaka kuzunguka, nimemwandikia kwenye SMS kuwa yeye ni fisadi. Na sijajificha kwa kweli. Nimewandikia kwa namba yangu na nimeandika jina langu ili abaki na ushahidi akipenda aende mahakamani. Wadadisi wa mambo, wanasema kwamba uamuzi huu wa Bwana Mnyika unaweza kuzua mivutano kati yake na Ballille+Rostam. Itakumbukwa kwamba mara baada ya uchaguzi mkuu 2005, wakati Makamba anafanya jitihada za kumnunua Mnyika kwenda CCM alimtumia Bwana Rostam Aziz. Hata hivyo, Bwana Mnyika alikataa kata kata akieleza kwamba yeye hana bei(price less).

Suala hili la CCM kutaka kumnunua Mnyika liliwahi kuwekwa hadharani na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Kwa mujibu wa vyanzo vilivyo karibu na Bwana Balille, mara baada ya kikao hicho cha Jukwaa la Wahariri, Bwana Balille alimjulisha Rostam mambo yote na umuhimu wa kuandaa mbinu ya kumkabili Bwana Mnyika katika suala hilo. Kwa mujibu wa chanzo hicho, imekuwabaliwa kwamba kikao kitafanyika ikiwemo kupanga mbinu ya kukabiliana na Zitto Kabwe kutokana na uamuzi wake wa kukabiliana na wahariri wa vyombo vya habari kutokana na kuruhusu habari ya uongo ya kupikwa kuweza kutolewa na vyombo vyao. Katika mkakati huo, imeelezwa kuwa kiongozi mmoja wa upinzani aliyekwenda mazikoni Tarime atashirikishwa.

PM

Kwa maoni yangu huu ndio mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Bwana Mnyika
 
Last edited by a moderator:
Dogo Mnyika uso kwa uso na Balille+Rostam
Kwa maoni yangu huu ndio mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Bwana Mnyika

Sidhani kama huo utakuwa ni mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Mnyika,
ila hii staili yake ya siasa za SMS imeniacha hoi, huwezi kumshinda adui yako kisiasa kwa kumzodoa kupitia katika sms, sana sana unamfanya atambue kwamba kumbe umetangaza vita rasmi, na kwa namna hiyo unamfanya atafute ammunition zaidi ya kukumaliza kisiasa moja kwa moja.

maadam hapa Mnyika ameshafahamu kwamba kamshika nyati mkia, inabidi akae karibu na mti(kwa mana kwamba hapa inabidi acheze siasa kwa mahesabu makali)
 
Dogo Mnyika uso kwa uso na Balille+Rostam Aziz

Katika hali inayoashiria kwamba sasa mambo yaliyonyuma ya pazia yanaanza kujitokeza hadharani. Dogo Mnyika ameanza kugongana vichwa na Ballile+Rostam Aziz. Katika kikao cha Jukwaa la Wahariri za jana, baada ya Sakina Datoo kueleza wazi wazi jinsi habari za magazeti matano zilivyofanana na Zitto kueleza jinsi gani habari hizo zilivyokuwa si za kweli. Mhariri wa gazeti la RAI hakuweza kukanusha hali hiyo badala yake alipopata muda kueleza hali hiyo, akasema kwamba wa kulaumiwa kutokana na kuliingiza taifa katika hali hiyo ni John Mnyika ambaye kauli zake ndizo zilizoliingiza taifa kwenye matatizo. Bwana Ballile alitumia muda wote kumshambulia Bwana Mnyika. Ndipo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Sakina Datoo, alipompa nafasi Bwana Mnyika naye kuweza kufafanua hali hiyo. Katika majibu yake kwa Ballile, Bwana Mnyika alitangaza wazi kuwa gazeti la RAI ndilo lililopotosha na kuudanganya umma, na kuliingiza taifa kwenye hisia tofauti kuhusu Kifo cha Chacha Wangwe. Bwana Mnyika akarejea taarifa za gazeti la RAI la alhamisi ya 31 Julai, 2008 lililokuwa na Kichwa cha Habari “Wangwe kauwawa” kuwa ndilo lilochochea hisia miongoni mwa wananchi kuhusu mauji na hatimaye yakatokea yaliyotokea Tarime siku hiyo na baadaye magezeti ya Ijumaa 1 Agosti, 2008 nayo yakabeba habari zisizo za kweli kuhusu Mbowe kukaribia kukatwa na mapanga na kuhusisha kifo hicho na Risasi. Bwana Mnyika alieleza wazi kwamba habari hiyo ukusara wa Mbele ambayo ilikuwa na by line inayosema “Wataka Polisi iwabane Mnyika na Mallya”, ililenga kujenga hisia za wasomaji kumhusisha yeye na kifo cha Wangwe. Bwana Mnyika alielezea kwamba siku ya pili baada ya habari hiyo kutoka waandishi wa habari walifika kutaka msimamo wake kuhusu habari hiyo lakini alikataa kusema chochote kwa kuwa hiki ni kipindi cha maombolezo badala ya malumbano. “Leo naomba niwaambie wahariri, kwamba naendelea kutafakari kuhusu habari hiyo, na pindi kipindi cha maombolezo kitakapokwisha, nitawaita waandishi kueleza hatua nitakazochukua kuhusiana na gazeti hilo’, alisema Bwana Mnyika. Akiichambua habari hiyo, Bwana Mnyika amesema pamoja na kichwa cha habari kutaka polisi wamhoji, ndani ya habari yenyewe hakuna mahali popote ambapo chanzo chochote kimesema ahojiwe na polisi. Akichambua aya ya kwanza na ya pili ya habari, ambayo inaeleza kwamba msimamo wa “wazawa wa Tarime” kuwa “chacha ameuwawa’ umechochewa na kauli yake, Bwana Mnyika akamhoji Balille mbona habari yenyewe haitaji kauli ya Bwana Mnyika inayolalamikiwa na ‘wazawa’ hao wala katika habari yenyewe hailezwi popote wazawa hao kuhusisha kauli zao na msimamo wa Bwana Mnyika. Akichambua aya za mwishoni mwa Habari hiyo, ambayo inataja kwamba msimamo wa Dr Slaa ulikuwa ni kutaka uchunguzi ufanyike wakati Bwana Mnyika alitoa taarifa kwamba vyombo vya habari kuwa kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA. Chini ya maneno ya habari hiyo, gazeti la RAI likaweka maswali yafuatayo: Kwanini Mnyika akimbie kutoa kauli hii? Je, Mnyika ni polisi kutangaza mazingira ya kifo cha Wangwe?Je, Mnyika alikuwepo eneo la tukio?, Je, Ni kinga ipi anayotaka kuweka Mnyika? Kutokana na Habari hiyo kuwa na maswali hayo, Bwana Mnyika aliweka bayana kwa Ballile kwamba maswali hayo yaliongezwa na RAI ili kujenga hisia kwa msomoji kwamba yeye anahusika na kifo cha Wangwe. Akichambua mapungufu ya hoja hiyo. Alisema, anasikitika kwamba katika kipindi chote cha msiba mpaka Ballile anaibua hoja hiyo katika Jukwaa la Wahariri, gazeti la RAI halijawahi kufanya mahojiano yoyote na yeye wakati wowote. Mnyika akaendelea kuelezea kwamba wao kama CHADEMA wanafanya kazi kama timu, na pindi habari za msiba walipozipata usiku walipeana taarifa kamili. Na hata asubuhi waliendelea kupeana taarifa mbalimbali ili kutoa misimamo bila kukinzana. Akasema kwamba siku hiyo ya Jumanne 29 Julai 2008, waandishi wa habari walimfuata ofisini kuuliza jinsi CHADEMA ilivyopokea msiba huo mzito. Alieleza bayana kwamba waandishi wengi walifika baada ya kikao cha sekretariati ya chama hicho ambayo yeye kama kaimu katibu mkuu, alikuwa Mwenyekiti wa Kikao. Anasema akawaeleza waandishi hao jinsi ambayo wamekipokea kifo hicho kwa mshtuko na masikitiko makubwa na kwamba wataendelea kumkumbuka Chacha kama kiongozi jasiri aliyesimamia yale aliyoyaamini. Anasema mara baada ya kuhitimisha kutoa kauli hiyo ya chama ya jinsi ambavyo chama kimepokea msiba huo, waandishi wa Mwandishi wa Habari wa Mtanzania, na wa TBC1 waliuliza maswali, wakati yule wa Mtanzania akiuliza swali kwamba habari za mitaani zinasema kwamba CHADEMA ndio imemuua Chacha nini kauli ya chama kuhusu suala hilo? Yule wa TBC1 aliuliza kama kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA? Bwana Mnyika alisema kwamba CHADEMA haihusiki na kifo hicho wala hakihusiani na mgogoro ndani ya chama hicho, na kwamba taarifa za awali walizozipokea toka kwa Kamanda wa Polisi ni kwamba kifo hicho kimetokana na ajali. Bwana Mnyika alisema kwamba alilisitiza kuwa watu wasianze kuitizama CHADEMA badala yake vyombo vya usalama ndio vinawajibu wa kutoa taarifa kamili. Katika jukwaa la Wahariri, Bwana Mnyika aliweka bayana kwamba huu ndio uliokuwa msimamo wa pamoja, na ni msimamo huo huo ulitolewa na viongozi wengine wa CHADEMA siku hiyo akiwemo Dr Slaa, na hata viongozi wa kiserikali akiwemo Spika wa Bunge na Rais wa nchi katika salamu zao. Bwana Mnyika akamhoji Balille kwamba ni vipi kati ya watu wote walionukuu taarifa ya polisi kuwa kifo hicho kimetokana na ajali hawakuandikwa na RAI kwamba wamekurupuka kujikinga na kutaka wahojiwe na polisi kama alivyoandikwa yeye na gazeti hilo? Bwana Mnyika akaendelea kusema kwamba kinachoshangaza zaidi ni kuwa Jumatano ya tarehe 30 Julai, 2008 yeye mwenyewe alimwandikia Barua IGP kutaka uchunguzi wa utata wa mazingira ya ajali uliotokana na kauli tofauti tofauti ambazo zilitolewa na Deus Mallya ukilinganisha na watoto wa marehemu kuhusiana na ajali hiyo. Wakati vyombo mbalimbali vya habari viliinukuu barua hiyo, ikiwemo gazeti dada la Mtanzania, Gazeti la RAI halikutumia kabisa habari hiyo. Bwana Mnyika akahitimisha kwa kumwambia Balille hadharani kwamba kwa mwelekeo wa Habari hiyo umeonyesha wazi kwamba aliyekuwa analengwa kuchafuliwa ni Mnyika na kwamba habari hiyo imekiuka misingi ya maadili ya uandishi wa habari na hivyo akaeleza wazi wazi kwamba anatarajia kuchukua hatua juu ya gazeti hilo. “ Hapa si mahali pake kuzungumzia hilo, bado tuko kwenye maombolezo, na hapa tulikuja kukutana na Jukwaa la Wahaririri. Pindi wakati ukifika nitawaita waandishi wa habari na kuwaeleza hatua nitazochukua”, alisema Mnyika.

Wakati huo huo, mmiliki wa Kampuni ya Habari Corporation yenye gazeti la RAI, Bwana Rostam Aziz amelalamika kwa baadhi ya wabunge, baadhi ya viongozi wa vyama vyama vya siasa na na baadhi ya wahariri kwamba Mnyika amemtukana kupitia simu yake ya mkononi. Hata hivyo alipotakiwa kueleza ametukanwa matusi gani, bwana Rostam hakuwa tayari kueleza. Kwa upande wake Bwana Mnyika alipoulizwa amekana kumtukana Bwana Rostam na kutaka aulizwe na atoe ushahidi ametukanwa nini. “Mimi nimemwambia kuwa nimesibitisha kuwe yeye ni fisadi. Sasa kama anasema mimi kumuita fisadi ni matusi basi aende mahakamani”. Na nimemwambia wazi wazi , sikutaka kuzunguka, nimemwandikia kwenye SMS kuwa yeye ni fisadi. Na sijajificha kwa kweli. Nimewandikia kwa namba yangu na nimeandika jina langu ili abaki na ushahidi akipenda aende mahakamani. Wadadisi wa mambo, wanasema kwamba uamuzi huu wa Bwana Mnyika unaweza kuzua mivutano kati yake na Ballille+Rostam. Itakumbukwa kwamba mara baada ya uchaguzi mkuu 2005, wakati Makamba anafanya jitihada za kumnunua Mnyika kwenda CCM alimtumia Bwana Rostam Aziz. Hata hivyo, Bwana Mnyika alikataa kata kata akieleza kwamba yeye hana bei(price less). Suala hili la CCM kutaka kumnunua Mnyika liliwahi kuwekwa hadharani na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Kwa mujibu wa vyanzo vilivyo karibu na Bwana Balille, mara baada ya kikao hicho cha Jukwaa la Wahariri, Bwana Balille alimjulisha Rostam mambo yote na umuhimu wa kuandaa mbinu ya kumkabili Bwana Mnyika katika suala hilo. Kwa mujibu wa chanzo hicho, imekuwabaliwa kwamba kikao kitafanyika ikiwemo kupanga mbinu ya kukabiliana na Zitto Kabwe kutokana na uamuzi wake wa kukabiliana na wahariri wa vyombo vya habari kutokana na kuruhusu habari ya uongo ya kupikwa kuweza kutolewa na vyombo vyao. Katika mkakati huo, imeelezwa kuwa kiongozi mmoja wa upinzani aliyekwenda mazikoni Tarime atashirikishwa.

PM

Kwa maoni yangu huu ndio mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Bwana Mnyika

Yote yana mantiki ila hii ya Mnyika kuisha kisiasa
 
Dogo Mnyika uso kwa uso na Balille+Rostam Aziz

imeelezwa kuwa kiongozi mmoja wa upinzani aliyekwenda mazikoni Tarime atashirikishwa.

PM

Kwa maoni yangu huu ndio mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Bwana Mnyika

Mbatia au Mrema na watamshambulia Zitto.... This is Tanzania bwana... siasa za call box, just talk mradi uweke rupia, au "airtime ya kutosha!!!!" tusubiri tutasikia mengi. Na Mnyika ajiandae na RA maana si unaona Mtikila kanyamaza!!!

Maoni yangu kwa wote, UKWELI, HAKI, NA UVUMILIVU vitasaidia kuimarisha mapambano ya kweli ya KUIKOMBOA TANZANIA... TUNATAKA UHURU MPYA
 
Dogo Mnyika uso kwa uso na Balille+Rostam Aziz

Katika hali inayoashiria kwamba sasa mambo yaliyonyuma ya pazia yanaanza kujitokeza hadharani. Dogo Mnyika ameanza kugongana vichwa na Ballile+Rostam Aziz. Katika kikao cha Jukwaa la Wahariri za jana, baada ya Sakina Datoo kueleza wazi wazi jinsi habari za magazeti matano zilivyofanana na Zitto kueleza jinsi gani habari hizo zilivyokuwa si za kweli. Mhariri wa gazeti la RAI hakuweza kukanusha hali hiyo badala yake alipopata muda kueleza hali hiyo, akasema kwamba wa kulaumiwa kutokana na kuliingiza taifa katika hali hiyo ni John Mnyika ambaye kauli zake ndizo zilizoliingiza taifa kwenye matatizo. Bwana Ballile alitumia muda wote kumshambulia Bwana Mnyika. Ndipo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Sakina Datoo, alipompa nafasi Bwana Mnyika naye kuweza kufafanua hali hiyo. Katika majibu yake kwa Ballile, Bwana Mnyika alitangaza wazi kuwa gazeti la RAI ndilo lililopotosha na kuudanganya umma, na kuliingiza taifa kwenye hisia tofauti kuhusu Kifo cha Chacha Wangwe. Bwana Mnyika akarejea taarifa za gazeti la RAI la alhamisi ya 31 Julai, 2008 lililokuwa na Kichwa cha Habari "Wangwe kauwawa" kuwa ndilo lilochochea hisia miongoni mwa wananchi kuhusu mauji na hatimaye yakatokea yaliyotokea Tarime siku hiyo na baadaye magezeti ya Ijumaa 1 Agosti, 2008 nayo yakabeba habari zisizo za kweli kuhusu Mbowe kukaribia kukatwa na mapanga na kuhusisha kifo hicho na Risasi. Bwana Mnyika alieleza wazi kwamba habari hiyo ukusara wa Mbele ambayo ilikuwa na by line inayosema "Wataka Polisi iwabane Mnyika na Mallya", ililenga kujenga hisia za wasomaji kumhusisha yeye na kifo cha Wangwe. Bwana Mnyika alielezea kwamba siku ya pili baada ya habari hiyo kutoka waandishi wa habari walifika kutaka msimamo wake kuhusu habari hiyo lakini alikataa kusema chochote kwa kuwa hiki ni kipindi cha maombolezo badala ya malumbano. "Leo naomba niwaambie wahariri, kwamba naendelea kutafakari kuhusu habari hiyo, na pindi kipindi cha maombolezo kitakapokwisha, nitawaita waandishi kueleza hatua nitakazochukua kuhusiana na gazeti hilo', alisema Bwana Mnyika. Akiichambua habari hiyo, Bwana Mnyika amesema pamoja na kichwa cha habari kutaka polisi wamhoji, ndani ya habari yenyewe hakuna mahali popote ambapo chanzo chochote kimesema ahojiwe na polisi. Akichambua aya ya kwanza na ya pili ya habari, ambayo inaeleza kwamba msimamo wa "wazawa wa Tarime" kuwa "chacha ameuwawa' umechochewa na kauli yake, Bwana Mnyika akamhoji Balille mbona habari yenyewe haitaji kauli ya Bwana Mnyika inayolalamikiwa na ‘wazawa' hao wala katika habari yenyewe hailezwi popote wazawa hao kuhusisha kauli zao na msimamo wa Bwana Mnyika. Akichambua aya za mwishoni mwa Habari hiyo, ambayo inataja kwamba msimamo wa Dr Slaa ulikuwa ni kutaka uchunguzi ufanyike wakati Bwana Mnyika alitoa taarifa kwamba vyombo vya habari kuwa kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA. Chini ya maneno ya habari hiyo, gazeti la RAI likaweka maswali yafuatayo: Kwanini Mnyika akimbie kutoa kauli hii? Je, Mnyika ni polisi kutangaza mazingira ya kifo cha Wangwe?Je, Mnyika alikuwepo eneo la tukio?, Je, Ni kinga ipi anayotaka kuweka Mnyika? Kutokana na Habari hiyo kuwa na maswali hayo, Bwana Mnyika aliweka bayana kwa Ballile kwamba maswali hayo yaliongezwa na RAI ili kujenga hisia kwa msomoji kwamba yeye anahusika na kifo cha Wangwe. Akichambua mapungufu ya hoja hiyo. Alisema, anasikitika kwamba katika kipindi chote cha msiba mpaka Ballile anaibua hoja hiyo katika Jukwaa la Wahariri, gazeti la RAI halijawahi kufanya mahojiano yoyote na yeye wakati wowote. Mnyika akaendelea kuelezea kwamba wao kama CHADEMA wanafanya kazi kama timu, na pindi habari za msiba walipozipata usiku walipeana taarifa kamili. Na hata asubuhi waliendelea kupeana taarifa mbalimbali ili kutoa misimamo bila kukinzana. Akasema kwamba siku hiyo ya Jumanne 29 Julai 2008, waandishi wa habari walimfuata ofisini kuuliza jinsi CHADEMA ilivyopokea msiba huo mzito. Alieleza bayana kwamba waandishi wengi walifika baada ya kikao cha sekretariati ya chama hicho ambayo yeye kama kaimu katibu mkuu, alikuwa Mwenyekiti wa Kikao. Anasema akawaeleza waandishi hao jinsi ambayo wamekipokea kifo hicho kwa mshtuko na masikitiko makubwa na kwamba wataendelea kumkumbuka Chacha kama kiongozi jasiri aliyesimamia yale aliyoyaamini. Anasema mara baada ya kuhitimisha kutoa kauli hiyo ya chama ya jinsi ambavyo chama kimepokea msiba huo, waandishi wa Mwandishi wa Habari wa Mtanzania, na wa TBC1 waliuliza maswali, wakati yule wa Mtanzania akiuliza swali kwamba habari za mitaani zinasema kwamba CHADEMA ndio imemuua Chacha nini kauli ya chama kuhusu suala hilo? Yule wa TBC1 aliuliza kama kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA? Bwana Mnyika alisema kwamba CHADEMA haihusiki na kifo hicho wala hakihusiani na mgogoro ndani ya chama hicho, na kwamba taarifa za awali walizozipokea toka kwa Kamanda wa Polisi ni kwamba kifo hicho kimetokana na ajali. Bwana Mnyika alisema kwamba alilisitiza kuwa watu wasianze kuitizama CHADEMA badala yake vyombo vya usalama ndio vinawajibu wa kutoa taarifa kamili. Katika jukwaa la Wahariri, Bwana Mnyika aliweka bayana kwamba huu ndio uliokuwa msimamo wa pamoja, na ni msimamo huo huo ulitolewa na viongozi wengine wa CHADEMA siku hiyo akiwemo Dr Slaa, na hata viongozi wa kiserikali akiwemo Spika wa Bunge na Rais wa nchi katika salamu zao. Bwana Mnyika akamhoji Balille kwamba ni vipi kati ya watu wote walionukuu taarifa ya polisi kuwa kifo hicho kimetokana na ajali hawakuandikwa na RAI kwamba wamekurupuka kujikinga na kutaka wahojiwe na polisi kama alivyoandikwa yeye na gazeti hilo? Bwana Mnyika akaendelea kusema kwamba kinachoshangaza zaidi ni kuwa Jumatano ya tarehe 30 Julai, 2008 yeye mwenyewe alimwandikia Barua IGP kutaka uchunguzi wa utata wa mazingira ya ajali uliotokana na kauli tofauti tofauti ambazo zilitolewa na Deus Mallya ukilinganisha na watoto wa marehemu kuhusiana na ajali hiyo. Wakati vyombo mbalimbali vya habari viliinukuu barua hiyo, ikiwemo gazeti dada la Mtanzania, Gazeti la RAI halikutumia kabisa habari hiyo. Bwana Mnyika akahitimisha kwa kumwambia Balille hadharani kwamba kwa mwelekeo wa Habari hiyo umeonyesha wazi kwamba aliyekuwa analengwa kuchafuliwa ni Mnyika na kwamba habari hiyo imekiuka misingi ya maadili ya uandishi wa habari na hivyo akaeleza wazi wazi kwamba anatarajia kuchukua hatua juu ya gazeti hilo. " Hapa si mahali pake kuzungumzia hilo, bado tuko kwenye maombolezo, na hapa tulikuja kukutana na Jukwaa la Wahaririri. Pindi wakati ukifika nitawaita waandishi wa habari na kuwaeleza hatua nitazochukua", alisema Mnyika.

Wakati huo huo, mmiliki wa Kampuni ya Habari Corporation yenye gazeti la RAI, Bwana Rostam Aziz amelalamika kwa baadhi ya wabunge, baadhi ya viongozi wa vyama vyama vya siasa na na baadhi ya wahariri kwamba Mnyika amemtukana kupitia simu yake ya mkononi. Hata hivyo alipotakiwa kueleza ametukanwa matusi gani, bwana Rostam hakuwa tayari kueleza. Kwa upande wake Bwana Mnyika alipoulizwa amekana kumtukana Bwana Rostam na kutaka aulizwe na atoe ushahidi ametukanwa nini. "Mimi nimemwambia kuwa nimesibitisha kuwe yeye ni fisadi. Sasa kama anasema mimi kumuita fisadi ni matusi basi aende mahakamani". Na nimemwambia wazi wazi , sikutaka kuzunguka, nimemwandikia kwenye SMS kuwa yeye ni fisadi. Na sijajificha kwa kweli. Nimewandikia kwa namba yangu na nimeandika jina langu ili abaki na ushahidi akipenda aende mahakamani. Wadadisi wa mambo, wanasema kwamba uamuzi huu wa Bwana Mnyika unaweza kuzua mivutano kati yake na Ballille+Rostam. Itakumbukwa kwamba mara baada ya uchaguzi mkuu 2005, wakati Makamba anafanya jitihada za kumnunua Mnyika kwenda CCM alimtumia Bwana Rostam Aziz. Hata hivyo, Bwana Mnyika alikataa kata kata akieleza kwamba yeye hana bei(price less). Suala hili la CCM kutaka kumnunua Mnyika liliwahi kuwekwa hadharani na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Kwa mujibu wa vyanzo vilivyo karibu na Bwana Balille, mara baada ya kikao hicho cha Jukwaa la Wahariri, Bwana Balille alimjulisha Rostam mambo yote na umuhimu wa kuandaa mbinu ya kumkabili Bwana Mnyika katika suala hilo. Kwa mujibu wa chanzo hicho, imekuwabaliwa kwamba kikao kitafanyika ikiwemo kupanga mbinu ya kukabiliana na Zitto Kabwe kutokana na uamuzi wake wa kukabiliana na wahariri wa vyombo vya habari kutokana na kuruhusu habari ya uongo ya kupikwa kuweza kutolewa na vyombo vyao. Katika mkakati huo, imeelezwa kuwa kiongozi mmoja wa upinzani aliyekwenda mazikoni Tarime atashirikishwa.

PM

Kwa maoni yangu huu ndio mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Bwana Mnyika

Siku ile ile niliposoma lile tamko la Mnyika (CHADEMA) niliandika lile tamko halikutakiwa kutolewa maana lilikuwa linaingiza siasa kwenye kifo cha Wangwe. Lile tamko lilikuwa linakaribisha Wajanja wengine kuingia kwenye kamchezo ka wanasiasa (ku SPIN). Na haikupita muda RA na genge lake wakawa nao wamepata greenlight na kuingiza spins zao.

Pili, Mnyika kumwandikia ujumbe RA kwenye simu yake ni utoto wa kisiasa. Anaonyesha ana hasira wakati kwenye siasa hasira ni kitu cha mwisho, alikuwa anatumia hoja ya manguvu kuliko nguvu ya hoja. kwa kufanya hivyo anaweza kufurahisha wafuasi wake wachache lakini akaudhi watu wengi neutral na independent ambao ndio CHADEMA inawahitaji zaidi ili kushinda uchaguzi.

State ya siasa za TZ iko chini mno. Siasa imeingiliwa kama tu fani ya uandishi wa habari.
 
Kwa upande wake Bwana Mnyika alipoulizwa amekana kumtukana Bwana Rostam na kutaka aulizwe na atoe ushahidi ametukanwa nini. “Mimi nimemwambia kuwa nimesibitisha kuwe yeye ni fisadi. Sasa kama anasema mimi kumuita fisadi ni matusi basi aende mahakamani”. Na nimemwambia wazi wazi , sikutaka kuzunguka, nimemwandikia kwenye SMS kuwa yeye ni fisadi. Na sijajificha kwa kweli. Nimewandikia kwa namba yangu na nimeandika jina langu ili abaki na ushahidi akipenda aende mahakamani.

Saafi sana hii, mkuu Mnyika kula tano, maana hatutaki kuzunguka mbuyu piga nyoka kwenye kichwa sio mkiani, I Love it!
 
Dogo Mnyika uso kwa uso na Balille+Rostam Aziz

Katika hali inayoashiria kwamba sasa mambo yaliyonyuma ya pazia yanaanza kujitokeza hadharani. Dogo Mnyika ameanza kugongana vichwa na Ballile+Rostam Aziz. Katika kikao cha Jukwaa la Wahariri za jana, baada ya Sakina Datoo kueleza wazi wazi jinsi habari za magazeti matano zilivyofanana na Zitto kueleza jinsi gani habari hizo zilivyokuwa si za kweli. Mhariri wa gazeti la RAI hakuweza kukanusha hali hiyo badala yake alipopata muda kueleza hali hiyo, akasema kwamba wa kulaumiwa kutokana na kuliingiza taifa katika hali hiyo ni John Mnyika ambaye kauli zake ndizo zilizoliingiza taifa kwenye matatizo. Bwana Ballile alitumia muda wote kumshambulia Bwana Mnyika. Ndipo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Sakina Datoo, alipompa nafasi Bwana Mnyika naye kuweza kufafanua hali hiyo. Katika majibu yake kwa Ballile, Bwana Mnyika alitangaza wazi kuwa gazeti la RAI ndilo lililopotosha na kuudanganya umma, na kuliingiza taifa kwenye hisia tofauti kuhusu Kifo cha Chacha Wangwe. Bwana Mnyika akarejea taarifa za gazeti la RAI la alhamisi ya 31 Julai, 2008 lililokuwa na Kichwa cha Habari “Wangwe kauwawa” kuwa ndilo lilochochea hisia miongoni mwa wananchi kuhusu mauji na hatimaye yakatokea yaliyotokea Tarime siku hiyo na baadaye magezeti ya Ijumaa 1 Agosti, 2008 nayo yakabeba habari zisizo za kweli kuhusu Mbowe kukaribia kukatwa na mapanga na kuhusisha kifo hicho na Risasi. Bwana Mnyika alieleza wazi kwamba habari hiyo ukusara wa Mbele ambayo ilikuwa na by line inayosema “Wataka Polisi iwabane Mnyika na Mallya”, ililenga kujenga hisia za wasomaji kumhusisha yeye na kifo cha Wangwe. Bwana Mnyika alielezea kwamba siku ya pili baada ya habari hiyo kutoka waandishi wa habari walifika kutaka msimamo wake kuhusu habari hiyo lakini alikataa kusema chochote kwa kuwa hiki ni kipindi cha maombolezo badala ya malumbano. “Leo naomba niwaambie wahariri, kwamba naendelea kutafakari kuhusu habari hiyo, na pindi kipindi cha maombolezo kitakapokwisha, nitawaita waandishi kueleza hatua nitakazochukua kuhusiana na gazeti hilo’, alisema Bwana Mnyika. Akiichambua habari hiyo, Bwana Mnyika amesema pamoja na kichwa cha habari kutaka polisi wamhoji, ndani ya habari yenyewe hakuna mahali popote ambapo chanzo chochote kimesema ahojiwe na polisi. Akichambua aya ya kwanza na ya pili ya habari, ambayo inaeleza kwamba msimamo wa “wazawa wa Tarime” kuwa “chacha ameuwawa’ umechochewa na kauli yake, Bwana Mnyika akamhoji Balille mbona habari yenyewe haitaji kauli ya Bwana Mnyika inayolalamikiwa na ‘wazawa’ hao wala katika habari yenyewe hailezwi popote wazawa hao kuhusisha kauli zao na msimamo wa Bwana Mnyika. Akichambua aya za mwishoni mwa Habari hiyo, ambayo inataja kwamba msimamo wa Dr Slaa ulikuwa ni kutaka uchunguzi ufanyike wakati Bwana Mnyika alitoa taarifa kwamba vyombo vya habari kuwa kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA. Chini ya maneno ya habari hiyo, gazeti la RAI likaweka maswali yafuatayo: Kwanini Mnyika akimbie kutoa kauli hii? Je, Mnyika ni polisi kutangaza mazingira ya kifo cha Wangwe?Je, Mnyika alikuwepo eneo la tukio?, Je, Ni kinga ipi anayotaka kuweka Mnyika? Kutokana na Habari hiyo kuwa na maswali hayo, Bwana Mnyika aliweka bayana kwa Ballile kwamba maswali hayo yaliongezwa na RAI ili kujenga hisia kwa msomoji kwamba yeye anahusika na kifo cha Wangwe. Akichambua mapungufu ya hoja hiyo. Alisema, anasikitika kwamba katika kipindi chote cha msiba mpaka Ballile anaibua hoja hiyo katika Jukwaa la Wahariri, gazeti la RAI halijawahi kufanya mahojiano yoyote na yeye wakati wowote. Mnyika akaendelea kuelezea kwamba wao kama CHADEMA wanafanya kazi kama timu, na pindi habari za msiba walipozipata usiku walipeana taarifa kamili. Na hata asubuhi waliendelea kupeana taarifa mbalimbali ili kutoa misimamo bila kukinzana. Akasema kwamba siku hiyo ya Jumanne 29 Julai 2008, waandishi wa habari walimfuata ofisini kuuliza jinsi CHADEMA ilivyopokea msiba huo mzito. Alieleza bayana kwamba waandishi wengi walifika baada ya kikao cha sekretariati ya chama hicho ambayo yeye kama kaimu katibu mkuu, alikuwa Mwenyekiti wa Kikao. Anasema akawaeleza waandishi hao jinsi ambayo wamekipokea kifo hicho kwa mshtuko na masikitiko makubwa na kwamba wataendelea kumkumbuka Chacha kama kiongozi jasiri aliyesimamia yale aliyoyaamini. Anasema mara baada ya kuhitimisha kutoa kauli hiyo ya chama ya jinsi ambavyo chama kimepokea msiba huo, waandishi wa Mwandishi wa Habari wa Mtanzania, na wa TBC1 waliuliza maswali, wakati yule wa Mtanzania akiuliza swali kwamba habari za mitaani zinasema kwamba CHADEMA ndio imemuua Chacha nini kauli ya chama kuhusu suala hilo? Yule wa TBC1 aliuliza kama kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA? Bwana Mnyika alisema kwamba CHADEMA haihusiki na kifo hicho wala hakihusiani na mgogoro ndani ya chama hicho, na kwamba taarifa za awali walizozipokea toka kwa Kamanda wa Polisi ni kwamba kifo hicho kimetokana na ajali. Bwana Mnyika alisema kwamba alilisitiza kuwa watu wasianze kuitizama CHADEMA badala yake vyombo vya usalama ndio vinawajibu wa kutoa taarifa kamili. Katika jukwaa la Wahariri, Bwana Mnyika aliweka bayana kwamba huu ndio uliokuwa msimamo wa pamoja, na ni msimamo huo huo ulitolewa na viongozi wengine wa CHADEMA siku hiyo akiwemo Dr Slaa, na hata viongozi wa kiserikali akiwemo Spika wa Bunge na Rais wa nchi katika salamu zao. Bwana Mnyika akamhoji Balille kwamba ni vipi kati ya watu wote walionukuu taarifa ya polisi kuwa kifo hicho kimetokana na ajali hawakuandikwa na RAI kwamba wamekurupuka kujikinga na kutaka wahojiwe na polisi kama alivyoandikwa yeye na gazeti hilo? Bwana Mnyika akaendelea kusema kwamba kinachoshangaza zaidi ni kuwa Jumatano ya tarehe 30 Julai, 2008 yeye mwenyewe alimwandikia Barua IGP kutaka uchunguzi wa utata wa mazingira ya ajali uliotokana na kauli tofauti tofauti ambazo zilitolewa na Deus Mallya ukilinganisha na watoto wa marehemu kuhusiana na ajali hiyo. Wakati vyombo mbalimbali vya habari viliinukuu barua hiyo, ikiwemo gazeti dada la Mtanzania, Gazeti la RAI halikutumia kabisa habari hiyo. Bwana Mnyika akahitimisha kwa kumwambia Balille hadharani kwamba kwa mwelekeo wa Habari hiyo umeonyesha wazi kwamba aliyekuwa analengwa kuchafuliwa ni Mnyika na kwamba habari hiyo imekiuka misingi ya maadili ya uandishi wa habari na hivyo akaeleza wazi wazi kwamba anatarajia kuchukua hatua juu ya gazeti hilo. “ Hapa si mahali pake kuzungumzia hilo, bado tuko kwenye maombolezo, na hapa tulikuja kukutana na Jukwaa la Wahaririri. Pindi wakati ukifika nitawaita waandishi wa habari na kuwaeleza hatua nitazochukua”, alisema Mnyika.

Wakati huo huo, mmiliki wa Kampuni ya Habari Corporation yenye gazeti la RAI, Bwana Rostam Aziz amelalamika kwa baadhi ya wabunge, baadhi ya viongozi wa vyama vyama vya siasa na na baadhi ya wahariri kwamba Mnyika amemtukana kupitia simu yake ya mkononi. Hata hivyo alipotakiwa kueleza ametukanwa matusi gani, bwana Rostam hakuwa tayari kueleza. Kwa upande wake Bwana Mnyika alipoulizwa amekana kumtukana Bwana Rostam na kutaka aulizwe na atoe ushahidi ametukanwa nini. “Mimi nimemwambia kuwa nimesibitisha kuwe yeye ni fisadi. Sasa kama anasema mimi kumuita fisadi ni matusi basi aende mahakamani”. Na nimemwambia wazi wazi , sikutaka kuzunguka, nimemwandikia kwenye SMS kuwa yeye ni fisadi. Na sijajificha kwa kweli. Nimewandikia kwa namba yangu na nimeandika jina langu ili abaki na ushahidi akipenda aende mahakamani. Wadadisi wa mambo, wanasema kwamba uamuzi huu wa Bwana Mnyika unaweza kuzua mivutano kati yake na Ballille+Rostam. Itakumbukwa kwamba mara baada ya uchaguzi mkuu 2005, wakati Makamba anafanya jitihada za kumnunua Mnyika kwenda CCM alimtumia Bwana Rostam Aziz. Hata hivyo, Bwana Mnyika alikataa kata kata akieleza kwamba yeye hana bei(price less). Suala hili la CCM kutaka kumnunua Mnyika liliwahi kuwekwa hadharani na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Kwa mujibu wa vyanzo vilivyo karibu na Bwana Balille, mara baada ya kikao hicho cha Jukwaa la Wahariri, Bwana Balille alimjulisha Rostam mambo yote na umuhimu wa kuandaa mbinu ya kumkabili Bwana Mnyika katika suala hilo. Kwa mujibu wa chanzo hicho, imekuwabaliwa kwamba kikao kitafanyika ikiwemo kupanga mbinu ya kukabiliana na Zitto Kabwe kutokana na uamuzi wake wa kukabiliana na wahariri wa vyombo vya habari kutokana na kuruhusu habari ya uongo ya kupikwa kuweza kutolewa na vyombo vyao. Katika mkakati huo, imeelezwa kuwa kiongozi mmoja wa upinzani aliyekwenda mazikoni Tarime atashirikishwa.

PM

Kwa maoni yangu huu ndio mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Bwana Mnyika


This is the longest paragraph I ever seen in my life...
 
hasira hasara ....hasa kwenye siasa. mnyika inabidi uwe na subra kama unataka kuwa mkombozi wa kweli
 
Fisadi ni fisadi tu, hakuna siasa kwenye kuita fisadi exactly what he is na hakuna subira kwenye hilo, ndio matokeo yake baadaye wanakuja kutuchanganya tunaanza kutafutana uchawi kama kweli ni fisadi au sio,

Mnyika saafi sana hiyo, kama anatembea na kuongea kama fisadi basi ni fisadi huyo hakuna siasa wala diplomasia hapo, ni fisadi period!
 
kuna manaibu katibu wakuu wangapi? Ninachojua Zitto ndio naibu katibu mkuu!

Kama kweli ni deputy secretary general then anawahuni watu kwa sms nijambo zito, alipaswa kumwandikia barua au kuitisha press conference.

Tunaomba BAKITA watupe official meaning ya fisadi, anachojua Rostam fisadi ni "mtu mzinifu" nakama hiyo ndo maana basi hii ni assult sawa na ile ya TID.

Jamani tuwe wabunifu, kama drogba anauzwa hata sie tunaweza kuwa na political consultants, political brokers. CCM wakamnunua Mnyika (sidhani kama wanamhitaji) na TLP wakamnunua Nape, ziwepo tu ethics, confidenciality clauses na official transfer.
 
Mnyika, naomba ajue hasira zake zaweza kutuulia chama, ni kwa nini ampe adui nafasi? sasa ajiandae mahakamani atapelekwa na huyu jamaa, na sifa ya chama inazidi kuharibika,
 
Mnyika, naomba ajue hasira zake zaweza kutuulia chama, ni kwa nini ampe adui nafasi? sasa ajiandae mahakamani atapelekwa na huyu jamaa, na sifa ya chama inazidi kuharibika,


wasiwasi wako tu chama chenu hakitakufa ndio kitang'aa sana!!!!!!!
 
kuna manaibu katibu wakuu wangapi? Ninachojua Zitto ndio naibu katibu mkuu!

Kama kweli ni deputy secretary general then anawahuni watu kwa sms nijambo zito, alipaswa kumwandikia barua au kuitisha press conference.

Tunaomba BAKITA watupe official meaning ya fisadi, anachojua Rostam fisadi ni "mtu mzinifu" nakama hiyo ndo maana basi hii ni assult sawa na ile ya TID.

Jamani tuwe wabunifu, kama drogba anauzwa hata sie tunaweza kuwa na political consultants, political brokers. CCM wakamnunua Mnyika (sidhani kama wanamhitaji) na TLP wakamnunua Nape, ziwepo tu ethics, confidenciality clauses na official transfer.

Swala la BAKITA kutupa maana halipo hapa, lugha ubadilika, ukua uzaliwa, n.k neno moja hapa linaweza likawa na maana nyingine sehemu nyingine, MAANA YA FISADI NI FISADI KWA MAANA YA FISADI NCHINI KWETU
 
Dogo Mnyika uso kwa uso na Balille+Rostam Aziz

Katika hali inayoashiria kwamba sasa mambo yaliyonyuma ya pazia yanaanza kujitokeza hadharani. Dogo Mnyika ameanza kugongana vichwa na Ballile+Rostam Aziz. Katika kikao cha Jukwaa la Wahariri za jana, baada ya Sakina Datoo kueleza wazi wazi jinsi habari za magazeti matano zilivyofanana na Zitto kueleza jinsi gani habari hizo zilivyokuwa si za kweli. Mhariri wa gazeti la RAI hakuweza kukanusha hali hiyo badala yake alipopata muda kueleza hali hiyo, akasema kwamba wa kulaumiwa kutokana na kuliingiza taifa katika hali hiyo ni John Mnyika ambaye kauli zake ndizo zilizoliingiza taifa kwenye matatizo. Bwana Ballile alitumia muda wote kumshambulia Bwana Mnyika. Ndipo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Sakina Datoo, alipompa nafasi Bwana Mnyika naye kuweza kufafanua hali hiyo. Katika majibu yake kwa Ballile, Bwana Mnyika alitangaza wazi kuwa gazeti la RAI ndilo lililopotosha na kuudanganya umma, na kuliingiza taifa kwenye hisia tofauti kuhusu Kifo cha Chacha Wangwe. Bwana Mnyika akarejea taarifa za gazeti la RAI la alhamisi ya 31 Julai, 2008 lililokuwa na Kichwa cha Habari "Wangwe kauwawa" kuwa ndilo lilochochea hisia miongoni mwa wananchi kuhusu mauji na hatimaye yakatokea yaliyotokea Tarime siku hiyo na baadaye magezeti ya Ijumaa 1 Agosti, 2008 nayo yakabeba habari zisizo za kweli kuhusu Mbowe kukaribia kukatwa na mapanga na kuhusisha kifo hicho na Risasi. Bwana Mnyika alieleza wazi kwamba habari hiyo ukusara wa Mbele ambayo ilikuwa na by line inayosema "Wataka Polisi iwabane Mnyika na Mallya", ililenga kujenga hisia za wasomaji kumhusisha yeye na kifo cha Wangwe. Bwana Mnyika alielezea kwamba siku ya pili baada ya habari hiyo kutoka waandishi wa habari walifika kutaka msimamo wake kuhusu habari hiyo lakini alikataa kusema chochote kwa kuwa hiki ni kipindi cha maombolezo badala ya malumbano. "Leo naomba niwaambie wahariri, kwamba naendelea kutafakari kuhusu habari hiyo, na pindi kipindi cha maombolezo kitakapokwisha, nitawaita waandishi kueleza hatua nitakazochukua kuhusiana na gazeti hilo', alisema Bwana Mnyika. Akiichambua habari hiyo, Bwana Mnyika amesema pamoja na kichwa cha habari kutaka polisi wamhoji, ndani ya habari yenyewe hakuna mahali popote ambapo chanzo chochote kimesema ahojiwe na polisi. Akichambua aya ya kwanza na ya pili ya habari, ambayo inaeleza kwamba msimamo wa "wazawa wa Tarime" kuwa "chacha ameuwawa' umechochewa na kauli yake, Bwana Mnyika akamhoji Balille mbona habari yenyewe haitaji kauli ya Bwana Mnyika inayolalamikiwa na ‘wazawa' hao wala katika habari yenyewe hailezwi popote wazawa hao kuhusisha kauli zao na msimamo wa Bwana Mnyika. Akichambua aya za mwishoni mwa Habari hiyo, ambayo inataja kwamba msimamo wa Dr Slaa ulikuwa ni kutaka uchunguzi ufanyike wakati Bwana Mnyika alitoa taarifa kwamba vyombo vya habari kuwa kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA. Chini ya maneno ya habari hiyo, gazeti la RAI likaweka maswali yafuatayo: Kwanini Mnyika akimbie kutoa kauli hii? Je, Mnyika ni polisi kutangaza mazingira ya kifo cha Wangwe?Je, Mnyika alikuwepo eneo la tukio?, Je, Ni kinga ipi anayotaka kuweka Mnyika? Kutokana na Habari hiyo kuwa na maswali hayo, Bwana Mnyika aliweka bayana kwa Ballile kwamba maswali hayo yaliongezwa na RAI ili kujenga hisia kwa msomoji kwamba yeye anahusika na kifo cha Wangwe. Akichambua mapungufu ya hoja hiyo. Alisema, anasikitika kwamba katika kipindi chote cha msiba mpaka Ballile anaibua hoja hiyo katika Jukwaa la Wahariri, gazeti la RAI halijawahi kufanya mahojiano yoyote na yeye wakati wowote. Mnyika akaendelea kuelezea kwamba wao kama CHADEMA wanafanya kazi kama timu, na pindi habari za msiba walipozipata usiku walipeana taarifa kamili. Na hata asubuhi waliendelea kupeana taarifa mbalimbali ili kutoa misimamo bila kukinzana. Akasema kwamba siku hiyo ya Jumanne 29 Julai 2008, waandishi wa habari walimfuata ofisini kuuliza jinsi CHADEMA ilivyopokea msiba huo mzito. Alieleza bayana kwamba waandishi wengi walifika baada ya kikao cha sekretariati ya chama hicho ambayo yeye kama kaimu katibu mkuu, alikuwa Mwenyekiti wa Kikao. Anasema akawaeleza waandishi hao jinsi ambayo wamekipokea kifo hicho kwa mshtuko na masikitiko makubwa na kwamba wataendelea kumkumbuka Chacha kama kiongozi jasiri aliyesimamia yale aliyoyaamini. Anasema mara baada ya kuhitimisha kutoa kauli hiyo ya chama ya jinsi ambavyo chama kimepokea msiba huo, waandishi wa Mwandishi wa Habari wa Mtanzania, na wa TBC1 waliuliza maswali, wakati yule wa Mtanzania akiuliza swali kwamba habari za mitaani zinasema kwamba CHADEMA ndio imemuua Chacha nini kauli ya chama kuhusu suala hilo? Yule wa TBC1 aliuliza kama kifo hicho hakitokani na mgogoro ndani ya CHADEMA? Bwana Mnyika alisema kwamba CHADEMA haihusiki na kifo hicho wala hakihusiani na mgogoro ndani ya chama hicho, na kwamba taarifa za awali walizozipokea toka kwa Kamanda wa Polisi ni kwamba kifo hicho kimetokana na ajali. Bwana Mnyika alisema kwamba alilisitiza kuwa watu wasianze kuitizama CHADEMA badala yake vyombo vya usalama ndio vinawajibu wa kutoa taarifa kamili. Katika jukwaa la Wahariri, Bwana Mnyika aliweka bayana kwamba huu ndio uliokuwa msimamo wa pamoja, na ni msimamo huo huo ulitolewa na viongozi wengine wa CHADEMA siku hiyo akiwemo Dr Slaa, na hata viongozi wa kiserikali akiwemo Spika wa Bunge na Rais wa nchi katika salamu zao. Bwana Mnyika akamhoji Balille kwamba ni vipi kati ya watu wote walionukuu taarifa ya polisi kuwa kifo hicho kimetokana na ajali hawakuandikwa na RAI kwamba wamekurupuka kujikinga na kutaka wahojiwe na polisi kama alivyoandikwa yeye na gazeti hilo? Bwana Mnyika akaendelea kusema kwamba kinachoshangaza zaidi ni kuwa Jumatano ya tarehe 30 Julai, 2008 yeye mwenyewe alimwandikia Barua IGP kutaka uchunguzi wa utata wa mazingira ya ajali uliotokana na kauli tofauti tofauti ambazo zilitolewa na Deus Mallya ukilinganisha na watoto wa marehemu kuhusiana na ajali hiyo. Wakati vyombo mbalimbali vya habari viliinukuu barua hiyo, ikiwemo gazeti dada la Mtanzania, Gazeti la RAI halikutumia kabisa habari hiyo. Bwana Mnyika akahitimisha kwa kumwambia Balille hadharani kwamba kwa mwelekeo wa Habari hiyo umeonyesha wazi kwamba aliyekuwa analengwa kuchafuliwa ni Mnyika na kwamba habari hiyo imekiuka misingi ya maadili ya uandishi wa habari na hivyo akaeleza wazi wazi kwamba anatarajia kuchukua hatua juu ya gazeti hilo. " Hapa si mahali pake kuzungumzia hilo, bado tuko kwenye maombolezo, na hapa tulikuja kukutana na Jukwaa la Wahaririri. Pindi wakati ukifika nitawaita waandishi wa habari na kuwaeleza hatua nitazochukua", alisema Mnyika.

Wakati huo huo, mmiliki wa Kampuni ya Habari Corporation yenye gazeti la RAI, Bwana Rostam Aziz amelalamika kwa baadhi ya wabunge, baadhi ya viongozi wa vyama vyama vya siasa na na baadhi ya wahariri kwamba Mnyika amemtukana kupitia simu yake ya mkononi. Hata hivyo alipotakiwa kueleza ametukanwa matusi gani, bwana Rostam hakuwa tayari kueleza. Kwa upande wake Bwana Mnyika alipoulizwa amekana kumtukana Bwana Rostam na kutaka aulizwe na atoe ushahidi ametukanwa nini. "Mimi nimemwambia kuwa nimesibitisha kuwe yeye ni fisadi. Sasa kama anasema mimi kumuita fisadi ni matusi basi aende mahakamani". Na nimemwambia wazi wazi , sikutaka kuzunguka, nimemwandikia kwenye SMS kuwa yeye ni fisadi. Na sijajificha kwa kweli. Nimewandikia kwa namba yangu na nimeandika jina langu ili abaki na ushahidi akipenda aende mahakamani. Wadadisi wa mambo, wanasema kwamba uamuzi huu wa Bwana Mnyika unaweza kuzua mivutano kati yake na Ballille+Rostam. Itakumbukwa kwamba mara baada ya uchaguzi mkuu 2005, wakati Makamba anafanya jitihada za kumnunua Mnyika kwenda CCM alimtumia Bwana Rostam Aziz. Hata hivyo, Bwana Mnyika alikataa kata kata akieleza kwamba yeye hana bei(price less). Suala hili la CCM kutaka kumnunua Mnyika liliwahi kuwekwa hadharani na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe. Kwa mujibu wa vyanzo vilivyo karibu na Bwana Balille, mara baada ya kikao hicho cha Jukwaa la Wahariri, Bwana Balille alimjulisha Rostam mambo yote na umuhimu wa kuandaa mbinu ya kumkabili Bwana Mnyika katika suala hilo. Kwa mujibu wa chanzo hicho, imekuwabaliwa kwamba kikao kitafanyika ikiwemo kupanga mbinu ya kukabiliana na Zitto Kabwe kutokana na uamuzi wake wa kukabiliana na wahariri wa vyombo vya habari kutokana na kuruhusu habari ya uongo ya kupikwa kuweza kutolewa na vyombo vyao. Katika mkakati huo, imeelezwa kuwa kiongozi mmoja wa upinzani aliyekwenda mazikoni Tarime atashirikishwa.

PM

Kwa maoni yangu huu ndio mwanzo wa kifo cha kisiasa cha Bwana Mnyika


Why atakufa kisiasa, weka analyisis zako hapa!! please conclusion imekuwa cheap sana
 
Siku zote Chadema haikuwa kuona kwamba kuna tatizo kwenye uandishi wa habari Tanzania... mpaka walipofanyiwa wao... ama kweli binadamu ni mdhaifu. CCM wamefanyiwa uhuni na waandishi wa habari kwa muda mrefu sana....

Changamoto kwa jukwaa la wahariri ni kutenda haki kwa watu wote.
 
Tatizo kama ulishazoea kupenda kusifiwa ndiyo matatizo yanapoanzia.Huyu dogo amelewa Sifa na anaona yuko Juu ya Sheria na tatizo nilishawahi kulisema toka huko Nyumma Kwamba inabidi arudshi shule Kwanza ili apate Elimu kidgo na aondoe Utoto..kama Mtu ni FISADI kwanini asimpeleke Mahakamani na Ushahidi kuliko kutumia njia ya kitoto ya SMS kama RA ni kimada wake.

Sijaona Mantiki ya Ndugu yangu Zitto kwenda kumtete Bwana Mbowe katika jukwaa la wahariri.Kama anaona Mbowe anapendwa kule Tarime basi angebaki ahudhulie Mazishi kama alivyobaki yeye Zitto.There is something wrong which this guys wanna hide to us.Siyo kwamba Chuki ilipandikizwa na CCM ila baada ya Wangwe kusimamishwa CHADEMa kuna watu walichukizwa hasa wale watu wa kemakorere na ndiyo walikuwa na sumu waliyonyeshwa toka zamani ya Ukabila.
 
Twende mbele turidi nyuma; Chama Cha Mapinduzi kama "Chama/Taasisi" kimekomaa sana. Vitendo hivi vya Chadema nidhahiri kabisa kuwa hawa wenzetu hawako tayari kuongoza nchi yetu. Nasikitikika sana kukubaliana na ukweli huu...!!
 
... kuliko kutumia njia ya kitoto ya SMS kama RA ni kimada wake.

Mkuu Gembe,

hiyo ndio njia kuu ya mawasiliano kwa sasa, kwani hata Rais wetu hutumia njia hiyo kuwasiliana na mawaziri wake!

Pia nadhani hujasahau sms iliyokuwa inatoka kwa CEO wa Barrick kwenda kwa Mh. Karamagi! hiyo unaisemeaje?

Kwa ujumla, Fisadi ni Fisadi tu, na hakuna haja ya kufikiri njia ya kumfikishia ujumbe kuhusu ufisadi wake! Na kama kuna mtu mwenye namba ya RA aweke hapa kila siku nitamtumia sms moja ya kumwambie "wewe ni Fisadi!".

Leo hii tunaona haya mambo ya vyombo vya habari ni madogo, lakini Rwanda walianza hivyo hivyo, mpaka kufikia mtangazaji wa Radio anatangaza "Ndugu zangu waHutu, ueni waTutsi wote, kwani wao ndio tatizo la nchi hii!"

Sasa tuendelee kuchekea "nyani" kwani tunataka kuvuna "mabua"!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom