Mnyika awakomba wana CCM 20 Kimara

mwemanga

Senior Member
Oct 22, 2012
120
31
Mbunge wa ubungo John Mnyika amewakomba wana CCM 20 wengiwao wakiwa ni vijana na kuwaingiza CHADEMA, haya yamejiri ktk mkutano wa hadhara ulio fanyika Kimara mtaa wa Saranga. wanachama wapya wamekabidhiwa kadi zao na katbu jimbo la Ubungo. Mara baada ya Mnyika kumaliza kuhutubia, inapendeza sana kama kila tukifanya mikutano na mbunge wa Ubungo wananchi wanatuunga mkono alisema katbu wa jimbo ndugu Ally Makwilo.
 
Mbunge wa ubungo John
Mnyika amewakomba wana CCM 20 wengiwao wakiwa ni vijana na kuwaingiza
CHADEMA, haya yamejiri ktk mkutano wa hadhara ulio fanyika Kimara mtaa
wa Saranga. wanachama wapya wamekabidhiwa kadi zao na katbu jimbo la
Ubungo. Mara baada ya Mnyika kumaliza kuhutubia, inapendeza sana kama
kila tukifanya mikutano na mbunge wa Ubungo wananchi wanatuunga mkono
alisema katbu wa jimbo ndugu Ally Makwilo.

ivi wana Ubungo wenzangu kuna tofauti yeyote kwetu kati ya Mnyika na Keenja?
 
ivi wana Ubungo wenzangu kuna tofauti yeyote kwetu kati ya Mnyika na Keenja?
Utawajua kwa maneno yao. Wanaongezea nguvu ili iundwe serkali isiyokuwa ya kifisadi hizo huduma za jamii zitakuwepo sana bila shida. Halafu kumlinganisha Mnyika na Keenja ni kuibania akili yako. Maana kama mtu kama unaweza kuwa na access na net basi unatakiwa uwe una think logically. Mnyika ni national wise mbunge.
 
ivi wana Ubungo wenzangu kuna tofauti yeyote kwetu kati ya Mnyika na Keenja?

Inategemea kama mtu anayfanya hiyo tathmini anafahamu mambo ya Project Planning au la> Mfano hai ni mradi wa mabomba ya wachin uliotekelezwa 2007 conception, planning designing vyote vilifanyika mwaka 2000. Sasa hatuna miradi yoyite inayotekelezwa Jimbo la Ubungo kutokana na usingizi wa Keenja bungeni. Matunda ya kazi kubwa anayofanya Mnike hixi sasa yatanzana kuonekana 2015 na beyond. Miradi yiote inayotekekelezwa na CCM hivi sasa ilipangwa katika kipindi cha 2005-10, ndio utekelezaji unafanyika sasa/
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom