Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

Samia kama hataki katiba mpya sisi watanganyika tunataka Tanganyika yetu. Atabaki hana nchi anayoiongoza.
Watanganyika bila katiba mpya tuhimizane kujitoa kwenye muungano wa wana ccm.
Tunataka muungano wa wananchi wa Tanganyika na Zanzibar.
Kwani Wana ccm siyo watanganyika?
 
Hakuna kesi yeyote ya Ugaidi au Uhujumu uchumi iliyofunguliwa Sept mwaka jana dhidi ya Freeman Aikael Mbowe.

 
Nendeni mkayapeleke mahakamani kama yana tija, huruma ya wananchi kwa sasa haisaidii. Pambaneni mwenzenu anateseka kule
 
Nendeni mkayapeleke mahakamani kama yana tija, huruma ya wananchi kwa sasa haisaidii. Pambaneni mwenzenu anateseka kule
Mahakama gani hiyo unayoshauri waende? Ikiwa majaji wote wanalipwa na serikali, utadhani watakwenda kinyume na matakwa ya muajiri wao?
 
Msajili wa Vyama vya Siasa amemtaka Katibu Mkuu wa CHADEMA J J Mnyika kujieleza kufuatia kauli yake kuwa katika mahojiano ya BBC Rais Samia alisema uongo.

Msajili amesema lugha hiyo dhidi ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni kinyume kabisa cha maadili.

Mnyika ameandika katika ukurasa wake wa twitter.

Mungu ni mwema wakati wote!

Pia soma: John Mnyika: Rais Samia "aidha amepotoshwa au ameamua kusema uongo”
Mbona kiswahili kinajieleza wazi, neno aidha linafuta uthibitisho kwahiyo ni hisia tu na si halisi. Watanzania wa sasa mbona tumepoteza maana ya utumiaji maneno!
 
Back
Top Bottom