Of course kila mwenye akili timamu hawezi kukubali wabaguzi wa kidini na kikabila ...tht is chadema..with their priest! kwa faida ya Taifa. wenye vichwa watatangazwa na tume ya uchaguzi vuta subira..hilo debe tupu nimeshalisikiliza miaka ya nyuma kwenye campaign zake ...hakuna kitu..however, ana akili sana kwa viwango vya chadema as long as anatoka kanisani period!
lakin kumbk uchagz bado
Duh...yaaan ata Mnyika haamini kuwa Dr Slaa anaweza kumshinda Kikwete mwaka huu?kaaazi kwelikweli!!