Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

Kwa hiyo wasukuma sasa wanatawaliwa na machifu wawili? chifu mnyika na chifu mbowe?

ona hapa mbowe akikabidhiwa uchifu wa kabila la wasukuma

 
Wana MWANZA wamempokea katibu mkuu wa cdm kwa shangwe na kuweka historia kwenye mkoa huo kwa kuamua kukabidhi hadhi ya chifu wa wasukuma.

Hakika huu ni msimamo wa kujivunia sana kwa wana MWANZA na inaonyesha kuwa sasa wameanza kujua mchele ni upi na chuya ni zipi kati ya ccm na cdm. View attachment 1306446

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii habari itamyima raha jiwe,
 
Hakika tunaweza kusikia maamuzi ya ajabu sana kwa picha kama hii
Hii habari itamyima raha jiwe,
Screenshot_20191229-151647.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Mnyika anaitwa mchaga leo hivi ukiwa karibu na Mbowe ndio unakuwa mchaga?

Kupandikiza ukabila ni kufirisika kihoja.

Siasa za Tanzania bhana kuna mchaga anaitwa Mnyika?

Tena hao mazoba sio hata wa kuwaambia kuwa Mnyika ni msukuma wala nini, maana wanataka kuleta siasa za kipuuzi. Mimi huwa nawaambia kuwa sio kuwa ni mchanga tu, kuanzia mama yake, baba, mke mpaka na marafiki zake ni wachaga, ili wapate nafasi nzuri ya kufanya siasa majitaka.

Huu mchezo wa kuogopa hiyo kete yao ya kikabila ndio cdm waliingizwa mkenge wakamchagua Mashinji, matokeo yake akaishia kuwa domo zege. Hiyo kete yao wala watu wasiogope maana wananchi sasa hivi wanajitambua, na yule anayetaka kuinyima cdm kura kisa inasemekana Mnyika ni mchaga aiinyime tu.
 
Hili jukwaa ni la siasa wala siyo la historia ukitaka historia kuna jukwaa lake
Kwa hiyo wasukuma sasa wanatawaliwa na machifu wawili? chifu mnyika na chifu mbowe?

ona hapa mbowe akikabidhiwa uchifu wa kabila la wasukuma

Screenshot_20191229-151647.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazombie ya kutumia kete ya ukabila na udini yamebakia lumumba
Tena hao mazoba sio hata wa kuwaambia kuwa Mnyika ni msukuma wala nini, maana wanataka kuleta siasa za kipuuzi. Mimi huwa nawaambia kuwa sio kuwa ni mchanga tu, kuanzia mama yake, baba, mke mpaka na marafiki zake ni wachaga, ili wapate nafasi nzuri ya kufanya siasa majitaka.

Huu mchezo wa kuogopa hiyo kete yao ya kikabila ndio cdm waliingizwa mkenge wakamchagua Mashinji, matokeo yake akaishia kuwa domo zege. Hiyo kete yao wala watu wasiogope maana wananchi sasa hivi wanajitambua, na yule anayetaka kuinyima cdm kura kisa inasemekana Mnyika ni mchaga aiinyime tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom