Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,940
- 95,214
- Thread starter
- #61
Naona Mnyika anakimbiza kweli kweli
Akae hukohuko mkoani mwanza asije huku jijini mwanza tukashindwa kusherehekea nwaka mpya
Hakuna watu wanapenda ushirikina kuliko ccm hapa duniani, angalia huyo anafanya nini hapo?
Hakuna msukuma aitwaye Mnyika mnakana na makabila yenu kwa kujipendekeza kwa wasukuma kwa sababu ndio wanaoamua Rais wa nchi mmechelewaMkuu hujajitambua tu, mnyika mwenyewe Ni msukuma pia
chadema kuendekeza ushirikina ndio maana walishindwa uchaguzi 2015Safi sana
Hahaha..kiongozi wa matambiko na wachawi wa kisukuma wa CDM.Hakika tunaweza kusikia maamuzi ya ajabu sana kwa picha kama hiiView attachment 1306481
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yanajitosheleza.
Hakuna msukuma aitwaye Mnyika mnakana na makabila yenu kwa kujipendekeza kwa wasukuma kwa sababu ndio wanaoamua Rais wa nchi mmechelewaMkuu hujajitambua tu, mnyika mwenyewe Ni msukuma pia
Hakuna msukuma aitwaye Mnyika mnakana na makabila yenu kwa kujipendekeza kwa wasukuma kwa sababu ndio wanaoamua Rais wa nchi mmechelewa
Hahaha..kiongozi wa matambiko na wachawi wa kisukuma wa CDM.
Sisi na watu wao na chatu
Walisha elewa sema wagum wa kukubali
Huifahamu sukuma land wewe kaa kimya, kama Bulima (Misungwi ikiwemo) kuna wazilankende au wasubi basi sawa, pia hakuna Msukuma anaitwa Mnyika, kwao kuwa Mwanza hakumfanyi awe msukuma.Wasukuma ndio wanajipendekeza kwake yeye alishasema ni mzilankede