Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Mbunge wa CHADEMA John Mnyika amemuunga mkono Waziri wa CCM Dr Harrisson Mwakyembe katika kazi za Serikali ya Rais Kikwete ya kuondoa foleni Dar es salaam kwa ubunifu wa usafiri wa treni yenye viwango, msome hapa: JOHN MNYIKA: MAJARIBIO YA USAFIRI WA TRENI DAR ES SALAAM NI HATUA MUHIMU, TRL NA RAHCO WANAPASWA KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA ZAIDI KWA KUSHIRIKIANA NA HALMASHAURI KAMA NILIVYOZIELEZA BUNGENI AGOSTI 2012 KUHUSU MAENEO YA MABIBO NA UBUNGO
....ndiyohiyo
....ndiyohiyo