Wakuu nimeshangazwa na kitendo cha AG kutetea adhabu ya matumizi ya fedha haramu kubakia kama ilivyopendekezwa na seriklai ambayo ni kifungo kisichozidi miaka mitatu au faini isiyopungua sh mil 100 na kisichozidi Mil 500.
Mnyika alimbana AG vilivyo akipendekeza adhabu iende sambamba na kiwango cha pesa ulichopatikana nazo au mali au majengo ili kumfanya mtu au taasisi iliyotenda kosa hilo i feel kama adhabu kweli.
Binafsi nimejifunza kitu ya kwamba adhabu hizi zimependekezwa kuwa fare na serikali kwa ajili ya kuwalinda mafisadi wa nchi hii,maana baada ya kubanwa vilivyo na Mnyika nikaona Mh Chenge mzee wa vijisenti alinyanyuka na kwenda kwa AG Werema na nikaona anamuelekeza kitu kiasi cha kupoteza concetration ya kumsikiliza Mnyika aliekuwa akiendelea kutetea mapendekezo yake.
baada ya Mnyika kumaliza ndio nikaona kasimama na kupiga porojo tu huyu AG,nikagundua kwamba kama huyu asingekuwa fisadi llazima angejenga hoja kuhakikisha adhabu inaongezeka.
wakuu nawasilisha
Mnyika alimbana AG vilivyo akipendekeza adhabu iende sambamba na kiwango cha pesa ulichopatikana nazo au mali au majengo ili kumfanya mtu au taasisi iliyotenda kosa hilo i feel kama adhabu kweli.
Binafsi nimejifunza kitu ya kwamba adhabu hizi zimependekezwa kuwa fare na serikali kwa ajili ya kuwalinda mafisadi wa nchi hii,maana baada ya kubanwa vilivyo na Mnyika nikaona Mh Chenge mzee wa vijisenti alinyanyuka na kwenda kwa AG Werema na nikaona anamuelekeza kitu kiasi cha kupoteza concetration ya kumsikiliza Mnyika aliekuwa akiendelea kutetea mapendekezo yake.
baada ya Mnyika kumaliza ndio nikaona kasimama na kupiga porojo tu huyu AG,nikagundua kwamba kama huyu asingekuwa fisadi llazima angejenga hoja kuhakikisha adhabu inaongezeka.
wakuu nawasilisha