Mnyika aliyatoa wapi Maji ya Baraka aliyompa Tundu Lissu pale Ikungi - Singida?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,839
141,756
Katika Mkutano mkubwa wa CHADEMA pale Ikungi Singida Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika alisema yeye na Tundu Lissu walijiunga na Chadema 2004

Mnyika akasema yeye na Tundu Lissu ni Wakatoliki hivyo akamkabidhi Tundu Lissu Rozari na Maji ya Baraka kwa ajili ya Ulinzi

Ndio naulizia hapo Katoliki naweza kupata Maji ya Baraka?

Nawatakia Dominica njema!
 
Maji ya baraka katoliko ni bure yapo kwenye kila mlango wa kuingia kanisani. Nenda hata na jaba utayapata. Kuna ibada maalum ya kubariki maji. Kwa wakatoliki wanaelewa
Mapadre wazinzi na walevi eti wanabariki maji ? Laana hii

USSR
 
Maji ya baraka katika kanisa katoliki huaminika yanabaraka kama yaitwavyo ni maji yakawaida ambayo huwa yabaraka baada yakubarikiwa Padri ,Askofu,Au Papa. Kwa Sara maarumu, Baada ya hapo muumini yeyote anaruhusiwa kuyatumia na hata kuyachukua kwa matumizi ya kiimani kama yatumiavyo kanisani kwakuchovya mkono ndani ya chombo yalimo hifadhiwa na kufanya ishala yamsalaba vivyohivyo na nyumbani ikumbukwe nyumbani pia kuna sara tofauti kama ya kabla yakula kabla ya kulala baada yakuamka ila pia kunawale wenyekuona maruerue majumbani kama mjuavyo uswahili , maji haya nikiboko unayamwagia ndani ya nyumba na panakua shwali kimsingi kwa alichofanya mnyika nikua ilikua ishara yakumshukuru mungu kwa alichomtendea muumini mwenzake.
 
Katika Mkutano mkubwa wa Chadema pale Ikungi Singida Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika alisema yeye na Tundu Lisu walijiunga na Chadema 2004

Mnyika akasema yeye na Tundu Lisu ni Wakatoliki hivyo akamkabidhi Tundu Lisu Rozari na Maji ya Baraka kwa ajili ya Ulinzi

Ndio naulizia hapo Katoliki naweza kupata Maji ya Baraka?

Nawatakia Dominica njema!
Labda alimuwekea madawa kwenye maji awe zezeta, Siasa zina ushirikina sana
 
Back
Top Bottom