Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
JOHN MNYIKA - Mbunge wa Wananchi wa Ubungo.
Shime tujitokeze kutoa maoni yetu kupata Katiba Mpya
Rejeeni mikutano ya hadhara na vikao mbalimbali ndani ya jimbo letu la Ubungo katika kata mbalimbali ambapo nilihamasisha elimu juu ya haja na hoja za mabadiliko ya katiba.
Sasa zamu ya jimbo letu imefika kutoa maoni.
Toa sasa na himiza wananchi wenzako wengine nao washiriki kutoa maoni.
Endapo utakosa fursa ya kutoa maoni yako katika mikutano na Tume ya Katiba. Hakikisha unatoa bado maoni yako kwa njia hizi: Facebook hapa:Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania | Facebook au Ingia hapa ujaze maoni yako:wanaoishi Ndani ya nchiau baruapepe: katiba@katiba.go.tz
Pia kwa watanzania wenzetu waliopo nje ya nchi, huu pia ni wakati wenu wa kutoa maoni kwa kupitia: Facebook hapa: Wanaoishi Nje ya nchiau Ingia hapa ujaze maoni yako:wanaoishi Ndani ya nchiau baruapepe: katiba@katiba.go.tz
RATIBA YA MIKUTANO YA MAONI YA KATIBA JIMBO LA UBUNGO.
MUHIMU: naomba wananchi wakati mkituma/toa maoni yenu, mnitumie pia nakala kwa simu: 0715-37 95 42 au baruapepe:mbungeubungo@yahoo.comkwa kuratibu na kurahisisha shughuli za ufatiliaji kwani kwa mujibu wa sharia ya mabadiliko ya katiba ilivyo sasa wabunge ni wajumbe wa Bunge la Katiba hivyo napaswa kupata nakala ya maoni ya wananchi pia juu ya katiba mpya niweze kuwakilisha kwa hatua hiyo ikifika.
Pia, napaswa kupata maoni yao kuhusu mchakato wa kupata katiba mpya ili niyazingatie wakati natekeleza wajibu wa kuwakilisha wananchi, kutunga sheria na kusimamia tume na serikali kwa ujumla wake ili nchi ipate katiba mpya na bora kwa maendeleo ya wananchi.
Maslahi ya Umma Kwanza!
John Mnyika
Mbunge Jimbo la Ubungo
Shime tujitokeze kutoa maoni yetu kupata Katiba Mpya
Rejeeni mikutano ya hadhara na vikao mbalimbali ndani ya jimbo letu la Ubungo katika kata mbalimbali ambapo nilihamasisha elimu juu ya haja na hoja za mabadiliko ya katiba.
Sasa zamu ya jimbo letu imefika kutoa maoni.
Toa sasa na himiza wananchi wenzako wengine nao washiriki kutoa maoni.
Endapo utakosa fursa ya kutoa maoni yako katika mikutano na Tume ya Katiba. Hakikisha unatoa bado maoni yako kwa njia hizi: Facebook hapa:Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania | Facebook au Ingia hapa ujaze maoni yako:wanaoishi Ndani ya nchiau baruapepe: katiba@katiba.go.tz
Pia kwa watanzania wenzetu waliopo nje ya nchi, huu pia ni wakati wenu wa kutoa maoni kwa kupitia: Facebook hapa: Wanaoishi Nje ya nchiau Ingia hapa ujaze maoni yako:wanaoishi Ndani ya nchiau baruapepe: katiba@katiba.go.tz
RATIBA YA MIKUTANO YA MAONI YA KATIBA JIMBO LA UBUNGO.
NA. | KATA | TAREHE | MAHALI | MUDA WA MKUTANO | |
KUANZA | KUMALIZA | ||||
1 | KIMARA | 27/11/2012 | BAHAMA TRA | 3:00 ASB | 6:00 MCH |
UBUNGO | S/MSINGI MSEWE | 8:00 MCH | 11: JIONI | ||
2 | KIBAMBA | 28/11/2012 | S/MSINGI KILUVYA | 3:00 ASB | 6:00 MCH |
MBEZI | S/MSINGI MBEZI | 8:00 MCH | 11:00 JIONI | ||
3 | GOBA | 02/12/2012 | ZAHANATI YA GOBA | 3:00 ASB | 6:00 JIONI |
4 | KWEMBE | 03/12/2012 | KIBAMBA HOSPITAL | 3:00 ASB | 6:00 MCH |
SINZA | UWANJA WA TP | 8:00 MCH | 11: JIONI | ||
5 | SARANGA | 04/12/2012 | STENDI YA BONYOKWA | 8:00 MCH | 11: JIONI |
6 | MSIGANI | 05/12/2012 | UWANJA WA TANESCO | 3:00 ASB | 6:00 JIONI |
7 | MANZESE | 07/12/2012 | UWANJA WA BAKHRESA | 8:00 MCH | 11: JIONI |
8 | MABIBO | 10/12/2012 | S/MSINGI MPAKANI | 3:00 ASB | 6:00 JIONI |
9 | MBURAHATI | 11/12/2012 | S/MSINGI MBURAHATI U/KIFA | 3:00 ASB | 6:00 JIONI |
10 | MAKUBURI | 13/12/2012 | U/NJIA PANDA MABIBO HOSTEL | 3:00 ASB | 6:00 MCH |
MAKURUMLA | GOMBERO | 8:00 MCH | 11: JIONI |
MUHIMU: naomba wananchi wakati mkituma/toa maoni yenu, mnitumie pia nakala kwa simu: 0715-37 95 42 au baruapepe:mbungeubungo@yahoo.comkwa kuratibu na kurahisisha shughuli za ufatiliaji kwani kwa mujibu wa sharia ya mabadiliko ya katiba ilivyo sasa wabunge ni wajumbe wa Bunge la Katiba hivyo napaswa kupata nakala ya maoni ya wananchi pia juu ya katiba mpya niweze kuwakilisha kwa hatua hiyo ikifika.
Pia, napaswa kupata maoni yao kuhusu mchakato wa kupata katiba mpya ili niyazingatie wakati natekeleza wajibu wa kuwakilisha wananchi, kutunga sheria na kusimamia tume na serikali kwa ujumla wake ili nchi ipate katiba mpya na bora kwa maendeleo ya wananchi.
Maslahi ya Umma Kwanza!
John Mnyika
Mbunge Jimbo la Ubungo