Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
Wananchi wengi walikulalamikia kule kuwa hukuwafanyia kitu Jimbo la Ubungo sasa sijui huko unaenda kuwaadaaa kwa lipi tena kaka? mupatapo vyeo msiwe wachoyo kufanya maendeleo katika maeneo yenu, ili mujiwekee azina hapo baadae ya kupata kura, jimbo hilo la Kibamba hutolipata maana una historia ya kushindwa kufanya maendeleo kule Ubungo.