Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,488
- 1,806
Wanajamii Salaam
Leo nimehakikisha kuwa kuna watu wanajua kutimiza ahadi. Huyu kijana alisema atahakikisha kuwa kero zote za AMUA=Afya, Miundo mbinu / Maji U? A? zinafanyiwa kazi haraka.
Sasa leo nimepita pale Stop over Kimara na kukuta ile kero ya siku nyingi ambayo ilishindikana leo imepatiwa utatuzi.
Kulikuwa na tuta ambalo lilikuwa likisababisha foleni, Wananchi wengi walilalamika lakini wapi, hata kuomba kuwalamba viongozi wa chama chetu ili kero hiyo ambayo ilikiuwa ndani ya uwezo wa watendaji itatuliwe bila mafanikio yeyote yale.
Leo hii tuta halipo na limeondolewa najua si SISIEMU kwani walishindwa/waligoma wakati wote; ni Kiongozi mpya.
Wale ambao hamkuchagua kiongozi bora ama mlishindwa kulinda kura zenu zikachakachuliwa mjifunze hapa wakati mwingine msifanye makosa.
Pia Wizara ya Ardhi waliokuwa wanataka kupora watu Ardhi yao eneo la Kwembe kati wajue wananchi wamepata Silaha mpya ya maangamizi. Mimi nilimchagua nikijua ni mtetezi wa watu
Aksanteni sana.
Leo nimehakikisha kuwa kuna watu wanajua kutimiza ahadi. Huyu kijana alisema atahakikisha kuwa kero zote za AMUA=Afya, Miundo mbinu / Maji U? A? zinafanyiwa kazi haraka.
Sasa leo nimepita pale Stop over Kimara na kukuta ile kero ya siku nyingi ambayo ilishindikana leo imepatiwa utatuzi.
Kulikuwa na tuta ambalo lilikuwa likisababisha foleni, Wananchi wengi walilalamika lakini wapi, hata kuomba kuwalamba viongozi wa chama chetu ili kero hiyo ambayo ilikiuwa ndani ya uwezo wa watendaji itatuliwe bila mafanikio yeyote yale.
Leo hii tuta halipo na limeondolewa najua si SISIEMU kwani walishindwa/waligoma wakati wote; ni Kiongozi mpya.
Wale ambao hamkuchagua kiongozi bora ama mlishindwa kulinda kura zenu zikachakachuliwa mjifunze hapa wakati mwingine msifanye makosa.
Pia Wizara ya Ardhi waliokuwa wanataka kupora watu Ardhi yao eneo la Kwembe kati wajue wananchi wamepata Silaha mpya ya maangamizi. Mimi nilimchagua nikijua ni mtetezi wa watu
Aksanteni sana.