Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,329
HahahahahaOngea kiswahili mi Kizungu sijui
HahahahahaOngea kiswahili mi Kizungu sijui
Mkuu nimependa mmea unautumia,vipi naupataje nami nipate stimu za kiparadiso paradisoHii pimbi ilikuja kufukua kaburi langu
Nliifukuza balaa
Mzee huo ni ukweli huku chini hali ya hewa ni baridi sanaMkuu nimependa mmea unautumia,vipi naupataje nami nipate stimu za kiparadiso paradiso
Mshukuru huyo pimbi alikusaidia kufukua kaburi lako vinginevyo ungekuwa umeshaozea huko...chezea tani 7 wewe!Hii pimbi ilikuja kufukua kaburi langu
Nliifukuza balaa
Bado nipo huku mzeeMshukuru huyo pimbi alikusaidia kufukua kaburi lako vinginevyo ungekuwa umeshaozea huko...chezea tani 7 wewe!
Sasa mbona nabii Tito anatupiga biti eti huko ni moto,au ni sound tu?Ila ngoja nifanye mchakato wa kuibukia huko nishuhudie mwenyeweMzee huo ni ukweli huku chini hali ya hewa ni baridi sana
Watu wanaumakini mdogo sana. Yani kashindwa hata kureason kuhusu hiyo taarifaMleta mada umekuwa mwepesi sana kulishwa na kuamini vitu visivyo na ukweli na ukavileta hapa. Huyo mnyama anaitwa alligator snapping turtle na siyo kweli kwamba anafukua makaburi na kula maiti. Ukipenda hautatumia muda mwingi na mb nyingi kupata habari za huyo mnyama.
Hivi maiti kwanza huwa iko umbali wa futi ngapi kwenda chini ?Huyu mnyama yuko kwenye baadhi ya nchi za Africa na America, anapenda kufukua makaburi na kula maiti za binadamu, na amejaaliwa akili akisikia kuna mtu anakuja huamua kulia sauti ya binadamu na mtu yoyote akisikia sauti hiyo atadhani ni sauti ya maiti kaburini atakimbia mbio nyingi na mnyama huyu atabaki kumla maiti kwa raha zake.
View attachment 1181188
Mleta mada umekuwa mwepesi sana kulishwa na kuamini vitu visivyo na ukweli na ukavileta hapa. Huyo mnyama anaitwa alligator snapping turtle na siyo kweli kwamba anafukua makaburi na kula maiti. Ukipenda hautatumia muda mwingi na mb nyingi kupata habari za huyo mnyama.
Kuna wajinga wataendelea kucoment wakiamini kuwa ni kweli wakati washaeleweshwa
Duuuh mkuu sasa hapa umeniuza maana shule niliosoma nilimaliza mwalimu wa English bado hajasjiriwa mkuuThe alligator snapping turtle (Macrochelys temminckii) is a species of turtle in the family Chelydridae. The species is native to freshwater habitats in the United States. M. temminckii is one of the heaviest freshwater turtles in the world.[3] It is often associated with, but not closely related to, the common snapping turtle, which is in the genus Chelydra. The specific epithet temminckii is in honor of Dutch zoologist Coenraad Jacob Temminck.[4][5]
Alligator snapping turtle
Alligator snapping turtle.jpg
Analia kwa uchungu sana
Analia kwa uchungu sana
yaana utadhani kaonewa kumbe anakunwa tu, mshenzi huyu akilia porini night unaweza kukimbia ukapitiliza kijiji cha jiraniAnalia kwa uchungu sana
Duuuh mkuu sasa hapa umeniuza maana shule niliosoma nilimaliza mwalimu wa English bado hajasjiriwa mkuu