Mnyama gani huyu?

MasterP.

JF-Expert Member
Jun 5, 2013
7,979
6,236
Hii nini wajameni
20210108_212531.jpg
 
Unajua hapa kuna mto sasa huwa siwaoni boko wakitoka nje ya maji, zaid wanaibuka na kupiga mswaki then wanarudi ndani.
Sijawahi waona wakila.
Huwa wanatoka kula usiku kukiwa kumepoa, mchana wanashinda kwenye maji jua linawazingua kutokana na kuwa na mafuta mengi kutokana na unene walionao..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom