Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikadhani boko, hivi boko naye hula majani???HUYO n john
Faru ni jamii ya farasi hata mdomo wake ni sawa na farasi kwa kuangalia hapo huyo sio faruFaru John
Ni mnyama gani sasa?Faru ni jamii ya farasi hata mdomo wake ni sawa na farasi kwa kuangalia hapo huyo sio faru
Ndio mkuu, boko hula majani.Nikadhani boko, hivi boko naye hula majani???
Oky, na nyangumi?Ndio mkuu, boko hula majani.
Unajua hapa kuna mto sasa huwa siwaoni boko wakitoka nje ya maji, zaid wanaibuka na kupiga mswaki then wanarudi ndani.Anakula sana tu ndo chakula chake...
We jamaa wew kwamb ukadhan ni boko dah.Nikadhani boko, hivi boko naye hula majani???
Nimelipia jina, anaitwa Faru Ligogomafaru joni 🦏
Huwa wanatoka kula usiku kukiwa kumepoa, mchana wanashinda kwenye maji jua linawazingua kutokana na kuwa na mafuta mengi kutokana na unene walionao..Unajua hapa kuna mto sasa huwa siwaoni boko wakitoka nje ya maji, zaid wanaibuka na kupiga mswaki then wanarudi ndani.
Sijawahi waona wakila.
Ooh asante kkHuwa wanatoka kula usiku kukiwa kumepoa, mchana wanashinda kwenye maji jua linawazingua kutokana na kuwa na mafuta mengi kutokana na unene walionao..
Atakuwa ndiyo yule farasi wazungu wanaita unicorn.Faru ni jamii ya farasi hata mdomo wake ni sawa na farasi kwa kuangalia hapo huyo sio faru