Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Mzungu mmoja alipita katika kijiji cha Igangidung'u na bahati mbaya alishikwa na haja kubwa alipokuwa akikatiza mashambani kwa wenyeji. Baada ya kuhakikisha kwamba hapakuwa na mtu jirani alijitoma kwenye shamba mojawapo ili ajisetiri. Baada ya kumaliza shughuli zake mzungua alijiandaa kuondoka na ndipo kwa bahti mbaya mwenye shamba (Mzee wa Kihehe) akatokea ; kumbe muda wote alikuwa ndani ya shamba akilikagua. Na yafuatayo ni majibizano yao.
Mzee: (kwa mshituko mkubwa) Heee heee
Mzungu: SORRY!
mzee: (kwa mshangao mkubwa kuliko mwanzo) HEEE HEEEEEE!
Mzungu: (akiwa kachanganyikiwa sasa AM VERY SORRY I was just'
Mzee: (akimkatisha mzungu) Wina uhulo veve (huna adabu kabisa!) Kunnya unnye veve!! Kusola ; nzole nene! (kunya unye wewe na kuzoa nizoe mimi; kwani wakati wote akiiitafsiri ile SORRY as SOOLE yaani zoa kwa kihehe)!
Asubuhi njema!
Mzee: (kwa mshituko mkubwa) Heee heee
Mzungu: SORRY!
mzee: (kwa mshangao mkubwa kuliko mwanzo) HEEE HEEEEEE!
Mzungu: (akiwa kachanganyikiwa sasa AM VERY SORRY I was just'
Mzee: (akimkatisha mzungu) Wina uhulo veve (huna adabu kabisa!) Kunnya unnye veve!! Kusola ; nzole nene! (kunya unye wewe na kuzoa nizoe mimi; kwani wakati wote akiiitafsiri ile SORRY as SOOLE yaani zoa kwa kihehe)!
Asubuhi njema!