ROKY
Senior Member
- May 4, 2011
- 182
- 70
Habari wana JF,
Nina shamba jipya kabisa maeneo ya mlandizi,niko katika harakati za kusafisha,kuna miti mingi migumu,inyofaa kwa kuni na hata mbao pia kuna mipingo,natafuta mtu/watu wanaoweza nunua miti/magogo kwani inaweza faa katika sehemu mbalimbali badala ya kuichoma na pia itanisaidia katika gharama za kusafisha shamba.
asanteni.
Nina shamba jipya kabisa maeneo ya mlandizi,niko katika harakati za kusafisha,kuna miti mingi migumu,inyofaa kwa kuni na hata mbao pia kuna mipingo,natafuta mtu/watu wanaoweza nunua miti/magogo kwani inaweza faa katika sehemu mbalimbali badala ya kuichoma na pia itanisaidia katika gharama za kusafisha shamba.
asanteni.