Tum4
Member
- Jul 15, 2017
- 36
- 2
Hivi ukisomea private diploma, je kuna uwezekano wa kuchaguliwa chuo kikuu baada ya kumaliza mafunzo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachaguliwa vzuri tuu kikubwa uwe na GPA ya 3.0 (Hiyo ni kulingana na sheria ya mwaka huu, kama utakuja ku apply mbeleni huko sasa utatakiwa kuendana na vigezo walivyotoa haswa hiyo GPA maana kila mara wanabadilika badilika)ivi ukisomea private diploma je kunauwezekano wakuchaguliwa chuo kukuu baada ya kumaliza mafunzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Je vp kuhusu swala la mkopoUwezekano upo niwewe tu uwezo wako mkuu...
post using my macbook air using jamiiforums app
Swala la mkopo linategemea na vigezo vilivyotolewa na bodi ya mikopo kama utakuwa umevikidhi basi huna budi kupata mkopo